DOKEZO Nape, Makamba kuondolewa Baraza la Mawaziri

DOKEZO Nape, Makamba kuondolewa Baraza la Mawaziri

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nchi ngumu
 

Attachments

  • 20240721_231448.jpg
    20240721_231448.jpg
    561.9 KB · Views: 4
Si Umeona eee
Mkuu britanicca akili yangu dogo ya shamba inaniambia hivi huenda Mama kabla ya uteuzi na utenguzi aliongea na watoto wapendwa na kukubaliana nao labda watapewa fursa fulani mbeleni, na kama sivyo, tutarajie Account nyingi zikiwemo za Kigogo Kigogo kufanya vita ya mitandaoni na Bi Mother
 
Hata akitoka mwigulu bado hakuna chochote cha maana kitafanyika, tatizo la nchi hii sio mtu mmoja mmoja ni li mfumo lizima kuanzia juu hadi chini, ndipo kuna jini mnyonya damu, hata umlete MALAIKA, hatoboi!!
Mfumo unatengenezwa na watu,na Mtu au watu wanaweza amua kuondoa mfumo uliopo na kuweka mizani sawa.Kwa bahati mbaya kwa Tanzania kidogo Magufuli alijaribu.
 
Back
Top Bottom