To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Anachungulia tuNdio maana Marope alikuwa kimyaaaaa hata hasikiki sijui Yuko wapi saizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachungulia tuNdio maana Marope alikuwa kimyaaaaa hata hasikiki sijui Yuko wapi saizi
Hii nchi inavuja .......Kila kitu kipo wazi kabisa.Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
We Jamaa haupo kwenye special Op kweli ndani ya National S teamSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
Mbona hii ni confirmed!Una heshima nyingi sana mkuu kwenye jukwaa hili.
Mwigulu akiendelea na haya makashfa kashfa anaweza asimalize 2025.Na iwe kama ulivyonena, halafu baadaye afuatie Mwigulu
Jamaa nitabirie basi na mimi pengine nitalamba teuzi (jokes), big up mkuu upo vizuri sanaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
ImekuwaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
Utabiri umetimiaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
Huyu kamtaja zaidi ya mara 40 kwenye hotuba, ngumu ngumuNa iwe kama ulivyonena, halafu baadaye afuatie Mwigulu
Naombeni kazi najua mpo kwenye sistimuSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
Hujamuaminia tu bado mkuu?Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Ngoja kwanza!!Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.