G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 1,254
- 2,519
We mtu nimekuogopa mnoo mnoo 🤯Kwenye mkeka rasmi Naleta nilipo andika hii
Britanicca
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mtu nimekuogopa mnoo mnoo 🤯Kwenye mkeka rasmi Naleta nilipo andika hii
Britanicca
Si Umeona eeeHapo kwa Makamba huwa naona pazito sana kwa mama house
YametimiaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
Unasema cc Pascal Mayalla unamsikia huyu ?Mpiga mwingi hawezi mtema Makamba. Hiyo ndo inner circle yake wanapiga wote deals za ndani na nje ya serikali.
Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Mkuu wewe n mchawi, noma sanaSiyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini katavi Nape na makamba wanatemwa
Britanicca
Duuu, sasa hivi jiandae kulishwa hadi matango pori.Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Unasema cc Pascal Mayalla unamsikia huyu ?
Mkuu naomba ajira serikaliniUnasema cc Pascal Mayalla unamsikia huyu ?
Bado una swali?Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
Kwa mara nyingine umepiga mulemule mkuu.Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakujaa Baada ya ziara ya kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Britanicca
I told you sirKwa mara nyingine umepiga mulemule mkuu.
Sema tena.Na hili la kutumbuliwa akina Nape likitokea, nitakuaminia kuliko maelezo. Hata siku ukisema mende atatoa maziwa mimi nitakubali.
AibuUpdate: Nepi ame-deactivate account yake ya X!
Kumbe kijamaa kioga tu na bichwa lake kubwa lileAibu