Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,795
- 9,143
Nape Watanzania wengi hawampendi kwasababu ya tabia zake mbaya sana ni mtu anajivuna sana anadhani nchi hii ni ya kwao binafsi .una dharau sana na kibri wewe jamaa .
makamba sikio halizidi kichwa magufuli alikufukuza kazi wewe na Nape sasa leo umefukuzwa tena hamfai nyie wote kwanza hamna maadili wote wapiga dili tu.
makamba sikio halizidi kichwa magufuli alikufukuza kazi wewe na Nape sasa leo umefukuzwa tena hamfai nyie wote kwanza hamna maadili wote wapiga dili tu.