Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ana ID Mbili , moja ina Jina la Nape na ni Verified na nyingine ni ID fake sitaitaja kwa sababu za kulinda maadili ya JFWaziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Ataipitia hii kabla ya kulalaNape ni mchumia tumbo
Bi. Tozo yupo humu na ID's zake ni Hangaya the Chief pia FaizaFoxy ambayo anaitumia pale zinapotokea issue zinazowahusu muhammadan'sNinaijua aidii ya bi hangaya. Ilikuwaga active sana kabla ya u vp hahaha.
Hana lolotee zaidi ya kuwa mlamba Asali maarufuu aliyejawa na kiburi na ZarauWaziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Nape NnauyeWaziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Hakika.Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw
Sikuwa nikijua kumbe wew ni jirani yangu MamndenyiNi chekibob tu