Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

Atakuwa figganiga huyu maana anapata access ya kinachoendelea Ukraine bila chenga tena Frontline kabisa.

Kibwengo wa kawaida na anayetumia hizi smartphone za laki3,4,5 hawezi kupata access namna ile.

Hata hivyo huyu figganiga ni mtu bad kwa kutuhabarisha kinachoendelea huko Frontline Ukraine

Tupo mubashara utafkiri na sisi wafuatiliaji tupo Ukraine [emoji3061]
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa jamii forums.

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube
Nape Nnauye
 
Wasaga Kunguni wa JF mmepata sababu 😆😆
 
Back
Top Bottom