Nape: Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge haupo kwenye ilani, sie tulinadi mradi wa gesi. Huu tumedandia tu

Cha ajabu baada ya hoja ya Nape niliona watu 2 waandamizi ndani ya bunge (ccm) walimshambua sana, ila walichokuwa wakiongea kutokana na elimu yao hazikuwa hoja bali mipasho na hoja dhaifu zilizokosa uelewa na mashiko.
 
..... Kwani Uwanja wa ndege Chato ulikuwemo kwenye ilani?

Bombardier na Terrible Twins zilikuwemo kwenye ilani?

Kuhamia Dodoma kulikuwepo kwenye ilani?

Million 50 kila kiji zilikuwepo kwenye ilani?

..... kama CCM wangekuwa wanatekeleza ilani yao kwa miaka yote hiyo 57, basi nchi hii ingekuwa mbali sana!!
 
Gesi na Stiegler ni industry moja ya umeme kama mliinadi ilani ya umeme wa gesi y umekimbilia umeme wa maji hadi mvua inyeshe? Watz tuna akili ndogo ndio maana masikin anachoeleza Nape ni Umeme uleule ila kulingana na Ilani ya chama chake Gesi kwanza na sio maji ya Rufiji. So nani kasema umeme wa Maji unaleta maendeleo na wa Gesi hauleti maendeleo
 
Huyu Kwa sasa anasumbuliwa Na attention seeker , Na kingine ni kuangalia matokeo Yake ya Shule yalikuwaje, maana uelewa wake wakupambanua mambo ni questionable, hivyo Cha kufanya ni kumnyima hiyo attention anayotaka Na kumucha aele pekee Yake Kama vile a loose ball. Then all of sudden atashtukia mpira umekwisha Na wa kucheza naye hayupo
 
Na hakuna ushahidi kuwa fedha zinatumika vibaya kwani mkaguzi CAG hajapata husema hivyo zaidi ya wanaccm kusema upumbavu huo mitandaoni.
Hata huo uteuzi hakuna ushahidi kuwa watu wanawekwa mabibi zao zaidi ya wapumbavu wachache wa Lumumba kufanya huo ni wimbo wao.
Una la ziada?
 
You are right
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…