Pre GE2025 Nape na Makamba walisamehewa na Magufuli na Ubunge wakapewa lakini alipokufa Wakaendelea kumsimanga marehemu, Exodus 14:14 imehusika sasa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanavaa ndimi mpya kwenda kumnanga bungeni sasa
Hawatajaribu Hiyo kitu hata kwa dakika moja πŸ˜³πŸ™Œ

Wenye makando kando mengi huwa ni waoga πŸ™ŒπŸ‘

Let’s wait and see what happens next πŸ™„ !
 
Eti aliwasamehe akawapa ubunge? Kwamba ubunge anautoa rais? JAPO MAGU NA MENGI NAMKUBALI SANA ,Ila kwenye Democracia na utawala wa sheria no.magu angekuwepo tungekuwa bado tuna bandari
 
Kwa hiyo Ole Sabaya ni kiongozi kwa kuwa alikubalika na Magufuli? Vipi Taletale na Mwigulu?
Mwigulu hakuwah kukubalika na JPM vlevle huyo Tale khs Sabaya ujana ndio kitu kilimzd na hakujua kucheza na wapinzan wake ila ni kiongozi mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…