Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

mpuuzi wewe na tutaendelea kukupuuza kwani ndio dawa ya mwenye upuuzi badala ya kujikitama maisha ya wananchi mnaleta ujinga tuleteeni wanunuzi wa korosho ili iongezeke bei. hawa watu wanatuhujumu sana pesa ya marketing mmechukua ila maendeleo mnaenda kufanyia huko
 
Kama kuna demokrasia ndani ya chama, kwanini tena useme wanahujumu?
 
Anhaaa sasa nani ndani ya CCM kwasasa anaweza kurudisha CCM halisia ???
Wapo wengi tu ila waomdoe woga wamwambie mwenyekiti wazi kabisa ubaguzi hauko katika itikadi ya CCM,Mkuu wa Mkoa anashikwa hadharani akikwepa kodi halafu analeta "nakutogagwa gete gete bhebhe nyanda"
 
Siku naihama rasmi CCM nitakwenda kuihamia Mindoli kwa Ngoyai natumaini Fred Lossawa (cool guy) ni kama mimi anaijua CCM vizuri nililkuwa nimepunzika pombe kali kwa hiyo nataka ninywe nikamsalimie na mama na kuipa pole familia ivyoivibiwa lakini ikasema hewalwa si u tumwa.eeeee....mungu nisaidia
 
Kama membe anaidhoofisha nguvu ya magufuli ndani ya CCM kuna ubaya gani,Magufuli amechokwa anatawala kwa vitisho vya kupiga mashangazi wa watu...kama hiyo tabia ni sawa kwa Wazinza suo huku kusini bhana "kama aliubipu huo uraisi halafu uraisi ukampigia si angesema tu Sorry Wrong number ndugu uraisi"...alikuwa anautaka na huenda hata alienda kwa mganga ili ashinde uraisi tusidanganye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…