stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Leo humu emejaa Membe tu..
Tanzania hatuwezi kutawaliwa na Mswahili.
Tanzania hatuwezi kutawaliwa na Mswahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahLeo humu emejaa Membe tu..
Tanzania hatuwezi kutawaliwa na Mswahili.
Wapi imeandikwa?katibaa au ilani au hata kwenye tanzanite media wapi kami si o unafiki fitina mpika majungu uchawawi na roho mbaya ambayo hata ukijaribu kuipiga pigha inainyonya flasher yote,wewe unatakiwa siku ukifa inyenshe mvua miezi minne ili kaburi lako lisichimbike na likichimbika waupump mdomo unyweshshe zege.Leo humu emejaa Membe tu..
Tanzania hatuwezi kutawaliwa na Mswahili.
Ahaa ! Sawa mkuu.Hizo emoji za kike acha ushamba.
😡 hii je?Ahaa ! Sawa mkuu.
Buffalo soldierWako wengi tu hawaridhishwi na biashara ya utumwa.
Nape Nnauye sisi wanakusini tunalia na korosho zetu tu.. Unatusaidiaje baba..?HUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!
Naikumbuka haswa tena imeacha pengo kwenye familia yetu kijana aliyenifuata kuzaliwa alipata ajali ya zile gari za serikali zilizopindukaga na kuua wale watuHivi kumbe kuna kipigo ?
Ile ya gesi unaikumbuka hivi ?
Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20
mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.
Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,
Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile
Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,
Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.
Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,
Hatimaye CCM yetu itaurudi
DahHivi mbunge wa CCM hawezi kujihudhulu kama ishara ya kumuunga mkono Rais?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya UDOM kuchemka sasa CHADEMA nao waulizwa swali la mtego,tuone majibu yao - JamiiForumsWe jamaa ni muongo kinoma.hamna kitu ulichosema kikawa kweli.Uza kiwanda chako cha uongo upate mtaji wa kufanya mambo mengine
ICC alichomoka Kenyatta na kesi ya mauaji sembuse Magufuli?!! - JamiiForumsWe jamaa ni muongo kinoma.hamna kitu ulichosema kikawa kweli.Uza kiwanda chako cha uongo upate mtaji wa kufanya mambo mengine
Nape vipHUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!
MjTatizo mzee baba wetu sio mwanachama wa Alwatan Wahumuhumu hao watu wanafitina za kuridhi na kweli Mzee baba anaweza kufeli kabla ya mtihani sababu Ukitegemea sana Inteligence hao hao wenyewe wanabei zao kama wale anaowasajili daily yajayo yanatatanisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kofia zipo nyingi tu nenda lumumba utavishwa na katibu pia utapewa na shati sare na viatu vya mambaKuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.
Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.
😡 😡 😡
Kuelewa niliachoandika siyo lazima.Kofia zipo nyingi tu nenda lumumba utavishwa na katibu pia utapewa na shati sare na viatu vya mamba