Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

Leo humu emejaa Membe tu..

Tanzania hatuwezi kutawaliwa na Mswahili.
Wapi imeandikwa?katibaa au ilani au hata kwenye tanzanite media wapi kami si o unafiki fitina mpika majungu uchawawi na roho mbaya ambayo hata ukijaribu kuipiga pigha inainyonya flasher yote,wewe unatakiwa siku ukifa inyenshe mvua miezi minne ili kaburi lako lisichimbike na likichimbika waupump mdomo unyweshshe zege.
 
Hivi kumbe kuna kipigo ?
Ile ya gesi unaikumbuka hivi ?
Naikumbuka haswa tena imeacha pengo kwenye familia yetu kijana aliyenifuata kuzaliwa alipata ajali ya zile gari za serikali zilizopindukaga na kuua wale watu
 

We jamaa ni muongo kinoma.hamna kitu ulichosema kikawa kweli.Uza kiwanda chako cha uongo upate mtaji wa kufanya mambo mengine
 
Mj
 
Kuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.

Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.

😡 😡 😡
Kofia zipo nyingi tu nenda lumumba utavishwa na katibu pia utapewa na shati sare na viatu vya mamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…