Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

QUOTE="Viatu vya Samaki, post: 31497239, member: 521195"]
Kuelewa niliachoandika siyo lazima.
[/QUOTE]
Nimetuma ujumbe makusudi nilitegemea kupata jibu linalofanana na hili
1)Kofia ya kijani
2)Mzee zabron
3)Mzee zablon
#########
Lumumba
 
Mku huu mziki wa Nape ni mzito ndio maana Poleplo kimya
 
Kwako wewe ccm kwanza sio Tanzania, duh
 
Laiti angekusikiliza.
 
Trillions?
 
Nape alikataa allafu akaenda kukiri
 
Kuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.

Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.

😡 😡 😡
yupo huku... mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…