warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unataka kumpa mkong'oto nini? [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Kuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.
Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.
[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Kwa umri ule aliokuwa nao kama hajafa basi atakuwa anaumwa Kifo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unataka kumpa mkong'oto nini? [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Nilikua nimenuna wacha nicheke tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.
Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.
[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Hizi pumba si umdanganye mkeo hata akupe unyumba?Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20
mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.
Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,
Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile
Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,
Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.
Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,
Hatimaye CCM yetu itaurudi
Mwenye uwezo wa kutunishiana misuli na magufuli ni nan?Uongo mtupu kabisa Nape ni mnafiki lakini hana uwezo hata chembe wa kuhujumu Magufuli hata kwa chembe..na wala mzee Membe hana tabia hiyo kajituliza zake huko.....
Wataka umfanyejeKuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.
Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.
[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Lakin hata upinzani Mbowe amewakalia vibayaWako wengi tu hawaridhishwi na biashara ya utumwa.
Nina maongezi nae tu.
HUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20
mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.
Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,
Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile
Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,
Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.
Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,
Hatimaye CCM yetu itaurudi
Ccm hawana jema.Yani Membe pamoja na Kukaa kimya bado anaonekana kikwazo!!
Tanzania Nchi huru..Hii sasa ni Kero..
ahahaaa uyo mtafute aisee ucmwache[emoji23]Kuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.
Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.
[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Nani kafilisika?HUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!
Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20
mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.
Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,
Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile
Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,
Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.
Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,
Hatimaye CCM yetu itaurudi