Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

Kwa umri ule aliokuwa nao kama hajafa basi atakuwa anaumwa Kifo.

Ila alichokuwa anafanya ni kibaya sana kuniingiza kwenye siasa pasipo matakwa yangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu vp unataka kuniambia upande huo ulipo umeridhika au laa namaanisha I... i wa kijani
 
Acheni kuchonganisha Watu na serikali yao.
Nchi hii ni ya watanzania wote sio ya Mali ya MTU mmoja.

Katiba ibadilishwe ili kulinusuru taifa.

Hizi nafasi za Uteuzi ni janga kwa umoja na mshikamano wa nchi.
Utaifa unahujumiwa na watu wanaojipendekeza badala ya kuwaunganisha watanzania wanawagawanya kwa kuchongeana .

Tunaona jinsi hata wakurugenzi wanavyovuruga haki za wananchi kuchagua viongozi bora wanaowapenda; kwa sababu tu ya nafasi za uteuzi watu wanavunja sheria kwa makisudi na kwa kujiamini kabisa.
Hii sio sawa.
Hii nchi ni ya watanzania wote kuminya demokrasia kutawafanya watu waone kuwa hii nchi ni mali ya MTU mmoja kwa sababu tu ya nguvu kubwa anayopewa na katiba iliyopo. Hii sio sawa.

Membe ana kila haki ya kikatiba ya kutimiza ndoto yake alimradi anatimiza ndoto yake Kikatiba na Kidemokrsia.
Hata hivyo tusimsingizie jambo la kutunga na kumchonganisha na Mkuu wa nchi.

Kama wanaona kuwa wanataka kumpinga MTU yeyote 2020 ni haki yao mana ni mwaka wa uchaguzi.

CCM wasiposimama imara na kuhakikisha kuwa marekebisho yanafanyika kwenye sheria ya uchaguzi hakika watakuja kuumia zaidi kuliko wapinzani ambao kwa ni rahisi tu kupata nafasi ni kiasi tu cha kumuunga mkono mkuu na kuacha nafasi zao na kuzipata upya kwa urahisi kabisa.
Wale wabunge wa CCM wajitafakari kama nao wana nafasi ya kucheza na na nafasi zao wakazipata tena kupitia popote.
Mfano tu Wale 17 wa korosho wangepigwa chini Leo hii wangekua wakulima wa mbaazi na bei ingeshuka zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sikubaliani na mbunge baada ya kuhama chama kuwa na u bunge wake, ispokua nakubali Ana na chama chenye mbunge kuteuwa mtu mwengine na ku cover nafasi ya alie hama chama bila ya uchaguzi kuwepo.

Jengine kuwepo na muhula mmoja tu wa kuwania u rais na sio miaka kumi.

Tatu rais kuondolewa madaraka makubwa kama kuwa amiri jeshi mkuu. Kuteuwa majaji na msajili wa vyama vya siasa pamoja na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mengine nakubaliana na wewe isipokuwa hapo Panaposema asiwe amiri jeshi mkuu. Sasa jeshi litakuwa na utii kwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM

Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20

mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.

Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,

Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,

Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile

Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,

Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.

Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,

Hatimaye CCM yetu itaurudi
Rubbish as you are!
 
Mi sikubaliani na mbunge baada ya kuhama chama kuwa na u bunge wake, ispokua nakubali Ana na chama chenye mbunge kuteuwa mtu mwengine na ku cover nafasi ya alie hama chama bila ya uchaguzi kuwepo.

Jengine kuwepo na muhula mmoja tu wa kuwania u rais na sio miaka kumi.

Tatu rais kuondolewa madaraka makubwa kama kuwa amiri jeshi mkuu. Kuteuwa majaji na msajili wa vyama vya siasa pamoja na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kwa nini mshindi wa pili asirithi ubunge?
ukiwaacha wa chama kimoja wanaweza kufanya mchezo wa kupasiana
 
Back
Top Bottom