Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

Tetesi: Nape na Membe wahusishwa kuhujumu nguvu ya Magufuli ndani ya CCM

Nape akae kimya tatizo anajiona yeye ndio yeye Na yuko Strong kuna kitu Haelewi Magufuli aliingizwa uraisi Na team ambayo Kikwete,Lowasa ,Membe and company walikuwa hawajui Na hakuwa party ya maikundi ya mtandao. Mtandao uliomwingiza Magufuli ni ule ambao walikuwa neglected Na makundi ya uraisi yaliyopita ikiwemo mitandao ya Kikwete,Lowasa, Nape, membe Na Raisi mstaafu Karume wa Zanzibar
 
Nape akae kimya tatizo anajiona yeye ndio yeye Na yuko Strong kuna kitu Haelewi Magufuli aliingizwa uraisi Na team ambayo Kikwete,Lowasa ,Membe and company walikuwa hawajui Na hakuwa party ya maikundi ya mtandao. Mtandao uliomwingiza Magufuli ni ule ambao walikuwa neglected Na makundi ya uraisi yaliyopita ikiwemo mitandao ya Kikwete,Lowasa, Nape Na membe Na Raisi Karume
Una point kubwa mkuu
 
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20

mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.

Hapa la msingi ni moja tu, na mleta uzi anakiri mwenyewe-ma CCM yananunua wabunge, walianza kununua wa upinzani na sasa wanataka kujinunua wenyewe. Kuna sababu za msingi za kutafuta ile 1.5T imekwenda wapi. Huenda CCM isiwe salama na mbinu zake hizi.
 
Wait wengine hupenda kujilazimisha kuota naoto za kufikirika na kizihalalisha kuwa intejinsia Yale imemweza hivyo Kimbe ni ndoto za kifikirika zinazoambatana na Jodi na kujipendekeza.hatari sana kuishi kwa kujipendekeza na uongouongo.
 
Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM

Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20

mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.

Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,

Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,

Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile

Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,

Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.

Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,

Hatimaye CCM yetu itaurudi

View attachment 842690
Naumia sana kuona mtu mzima kama wewe ukiandika pointlesssssss
 
wako wabunge wa ccm wanatamani wangekuwa wabunge wa ccm ilj wapige mpunga,
 
Leo sina mengi kama Reginald...napita tu nyumba ya jirani,nione fito ngapi zinagombaniwa na membe...kama tetes inanyojieleza.
 
Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM

Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20

mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.

Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,

Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,

Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile

Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,

Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.

Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,

Hatimaye CCM yetu itaurudi

View attachment 842690
huu uzushi wa kishamba ni Mjinga mijinga pekee anaweza kukaa akaamini hayo maandiko, bila shaka mleta Mada kaamua kutengeneza propaganda za uchonganishi akiamini atazawadiwa ukuu wa Wilaya kama si ukurugenzi, safari hii tutashuhudia uzushi mwingi kwa wasaka vyeo toka kwa Mh kiranja mkuu.
 
Mwovu daima huogopa hata kivuli chake mwenyewe. Membe kalala hoi sasa mmemtoa wapi hata kabla ya 2019 jamani?? Msimchonganishe na babake
Mleta mada kaamua kusaka cheo kwa mgongo wa uchonganishi, huu uteuzi ni mara mia ufutwe sasa kwani umesababisha mada za uchonganishi na uchochezi kuwa nyingi sasa.
 
Back
Top Bottom