Nape na Mwigulu wanatumika sana kuonesha Rais ni dhaifu, hana uwezo.

Nape na Mwigulu wanatumika sana kuonesha Rais ni dhaifu, hana uwezo.

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mara nyingi Nape akilewa huwa anasema " sisi ndo tunamweka Rais na tukiamua tunamwondoa, sisi ndo CCM."

Haya maneno watu wake wa karibu wengi pia watakuambia. Ni mtu anayependa sifa za Kipumbavu. Ana utoto mwingi sana Nape. Yeye na Mwigulu mara nyingi wanapenda Kumbagaza Rais. Kuonesha wao ndo wana sauti au maamuzi makubwa.

Hili aliloliongea nape si kwa bahati mbaya na si utani. Hakuna utani wa namna ile. Anaongea mambo kuonesha kuwa yeye anahusika sana kumweka Rais madarakani na kuwa anapaswa aheshimiwe. Hapo alikuwa akimhakikishia Mbunge kuwa asiwe na shaka. Hili si jipya kwa nape.

Angalieni watu ambao wamekuwa na kauli chafu. Humkosi Mwigulu na Nape. Hawa wamejawa na Kiburi mpaka utosini. Wanasema wao ndo Chama. Ukipishana nao ni suala la muda tu wanakung'oa. Pengine hili ndo linamwogopesha rais.
 
Big Stars

Rais Dr Samia hawezi kumuhofia waziri yoyote hilo Nina uhakika nalo!
 
ni kwel hana uwezo .ilo wala hali itaji mtu kuonyesha
 
Mara nyingi Nape akilewa huwa anasema " sisi ndo tunamweka Rais na tukiamua tunamwondoa, sisi ndo CCM."

Haya maneno watu wake wa karibu wengi pia watakuambia. Ni mtu anayependa sifa za Kipumbavu. Ana utoto mwingi sana Nape. Yeye na Mwigulu mara nyingi wanapenda Kumbagaza Rais. Kuonesha wao ndo wana sauti au maamuzi makubwa.

Hili aliloliongea nape si kwa bahati mbaya na si utani. Hakuna utani wa namna ile. Anaongea mambo kuonesha kuwa yeye anahusika sana kumweka Rais madarakani na kuwa anapaswa aheshimiwe. Hapo alikuwa akimhakikishia Mbunge kuwa asiwe na shaka. Hili si jipya kwa nape.

Angalieni watu ambao wamekuwa na kauli chafu. Humkosi Mwigulu na Nape. Hawa wamejawa na Kiburi mpaka utosini. Wanasema wao ndo Chama. Ukipishana nao ni suala la muda tu wanakung'oa. Pengine hili ndo linamwogopesha rais.
Kwani mjambiani siyo mpumbavu
 
Sema biongozi wetu wa dini nao ni sehemu ys tatizo,vinginevyo asingesema hayo. wametushawishi tujiandikishe kwa msingi wa 4R mbona dalili sivyo,Dr Kitima kulikoni?
 
Mara nyingi Nape akilewa huwa anasema " sisi ndo tunamweka Rais na tukiamua tunamwondoa, sisi ndo CCM."

Haya maneno watu wake wa karibu wengi pia watakuambia. Ni mtu anayependa sifa za Kipumbavu. Ana utoto mwingi sana Nape. Yeye na Mwigulu mara nyingi wanapenda Kumbagaza Rais. Kuonesha wao ndo wana sauti au maamuzi makubwa.

Hili aliloliongea nape si kwa bahati mbaya na si utani. Hakuna utani wa namna ile. Anaongea mambo kuonesha kuwa yeye anahusika sana kumweka Rais madarakani na kuwa anapaswa aheshimiwe. Hapo alikuwa akimhakikishia Mbunge kuwa asiwe na shaka. Hili si jipya kwa nape.

Angalieni watu ambao wamekuwa na kauli chafu. Humkosi Mwigulu na Nape. Hawa wamejawa na Kiburi mpaka utosini. Wanasema wao ndo Chama. Ukipishana nao ni suala la muda tu wanakung'oa. Pengine hili ndo linamwogopesha rais.
Mwangalie hapa anavyomchafua Rais:
IMG-20240718-WA0046.jpg
 
Mtulie mfanye kazi zingine, tupo na Dr SSH mpaka 2030
 
Sema biongozi wetu wa dini nao ni sehemu ys tatizo,vinginevyo asingesema hayo. wametushawishi tujiandikishe kwa msingi wa 4R mbona dalili sivyo,Dr Kitima kulikoni?
Bado unawaamini viongozi wa dini? Wanashawishi watu wajiandikishe kupiga kura kwa ahadi za mdomoni, huku huyo anayetoa ahadi hataki uwepo wa tume huru ya uchaguzi! Wajinga ndio waliwao.
 
Mara nyingi Nape akilewa huwa anasema " sisi ndo tunamweka Rais na tukiamua tunamwondoa, sisi ndo CCM."

Haya maneno watu wake wa karibu wengi pia watakuambia. Ni mtu anayependa sifa za Kipumbavu. Ana utoto mwingi sana Nape. Yeye na Mwigulu mara nyingi wanapenda Kumbagaza Rais. Kuonesha wao ndo wana sauti au maamuzi makubwa.

Hili aliloliongea nape si kwa bahati mbaya na si utani. Hakuna utani wa namna ile. Anaongea mambo kuonesha kuwa yeye anahusika sana kumweka Rais madarakani na kuwa anapaswa aheshimiwe. Hapo alikuwa akimhakikishia Mbunge kuwa asiwe na shaka. Hili si jipya kwa nape.

Angalieni watu ambao wamekuwa na kauli chafu. Humkosi Mwigulu na Nape. Hawa wamejawa na Kiburi mpaka utosini. Wanasema wao ndo Chama. Ukipishana nao ni suala la muda tu wanakung'oa. Pengine hili ndo linamwogopesha rais.
Na bado hawafanywi kitu, which means behind them there is another power...Hii si afya Kwa mstakabali wa nchi yetu...Ni nani huyo anayewapa nguvu ya kuidharau Jamhuri?
 
Back
Top Bottom