Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wote walikuwa na viburi wakiwa wasemaji wa Chama. NapeaNnauye alipokuwa Katibu Mwenezi wapinzani wake binafsi na waliokuwa nje ya mstari wa Mwenyekiti, hususani Lowasa walikiona cha moto.
Humphrey Polepole naye aliwasomesha namba wote waliokuwa kinyume na Magufuli
Humphrey Polepole naye aliwasomesha namba wote waliokuwa kinyume na Magufuli