Nape na Polepole Wote walikuwa na kiburi wakiwa wasemaji wa CCM

Nape na Polepole Wote walikuwa na kiburi wakiwa wasemaji wa CCM

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Wote walikuwa na viburi wakiwa wasemaji wa Chama. NapeaNnauye alipokuwa Katibu Mwenezi wapinzani wake binafsi na waliokuwa nje ya mstari wa Mwenyekiti, hususani Lowasa walikiona cha moto.

Humphrey Polepole naye aliwasomesha namba wote waliokuwa kinyume na Magufuli

IMG_20211211_181206.jpg
IMG_20211211_181211.jpg
 
Utopolo anakimbizwa mbaya mno! Mashabiki wake hawaamini wanachokiona wanaishia kubana kende tusiwafunge!
 
ni msutano kati ya


Nape aliyehakikisha hakuna bungelive VS Polepole aliyetuletea mavieiti
 
Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .

Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
Kiroboto alikuwa na wananchi kipindi kile cha katiba mpya, alipoanza yale mambo ya "unaijua vieiti"tukamdharau
 
Back
Top Bottom