Nape ni aibu na fedhea kwa CCM, kuachwa kwake kutaleta aibu kubwa ndani ya CCM

Nape ni aibu na fedhea kwa CCM, kuachwa kwake kutaleta aibu kubwa ndani ya CCM

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Kwa muda mrefu nimekuwa ni adui wa kauli na utendaji usiofata misingi wa Nape Nnauye. Kauli zake Mara nyingi zinaonesha ni mtu anayejisikia, mtu ambaye anaamini kwamba bila yeye CCM haiwezi kusonga mbele,kwa kifupi anajiona ni mungu mtu ndani ya CCM.

Nape anachotakiwa kujua ni kwamba chini yake kama katibu wa itikadi na uenezi CCM kilikuwa dhaifu sana na ilikuwa ni aibu kujiita mwanaCCM lakini ni huyu anayemuita kiroboto ,wa kuja ndo kakiheshimisha chama pakubwa sana. Kazi iliyofanywa na kiroboto ni kubwa sana.

Nape kubali kataa lakini Polepole amekuzidi uwezo, maarifa na ujengaji hoja bado una nafasi ya kujifunza mazuri yako na ukaonekana bora kuliko kujiona unajua kila kitu kumbe tunaokufahamu tunaona aibu hata kukuzungumzia mbele za wenye akili timamu.

Hakika Nape umejua kukidhalilisha na kukifedhesha Chama cha mapinduzi kwa kusema kwamba CCM kina wenyewe, kama wenyewe unaowasemea na wewe ni mmojawapo basi hakuna namna zaidi ya kusikitika na kuhuzunika kwa uharibufu mkubwa uliofanywa chini yako. Kama umeyasahau nitaendelea kukukumbusha ili ujielewa sisi wanaCCM wenzako tunakuonaje
 
Mtoto wa mjini ,vijiweni upenda kumuita hivo
 
Kama hujui wenyewe kwa CCM ni wenyeji, waliokulia kwenye Chama tangu chipukizi, uvccm hadi ngazi ya wazazi/ wanawake

Hao kina polepole ni wakuja tu!

Mkuu

Unaweza kunipa nguzo nne zinazounda CHAMA

CHA MAPINDUZI?

Asante!
 
Kama hujui wenyewe kwa CCM ni wenyeji, waliokulia kwenye Chama tangu chipukizi, uvccm hadi ngazi ya wazazi/ wanawake

Hao kina polepole ni wakuja tu!
Ccm hsina wenyewe.. hao wanaoitwa wenyewe ni matapeli tuu je sifa ya mwanaccm ni nini
katiba ya ccm inasemaje
kuna sehemu kwenye katiba ya ccm kuwa imesema ccm ni chama chenye wenyewe na wengine wote ni wakuja.
acheni ushabiki na ujinga.
kwasasa hv tanzania 98% ni wajinga vichwani
 
Si kweli Nape alifanya kazi kubwa ya kurudiaha CCM Hadi Magufuli akapita kuwa Rais, alimpigia Sana kampeni nchi nzima yeye na Mangula. Haya tuambie Bashiru na polepole wamefanya Nini Cha ziada?
 
Si kweli Nape alifanya kazi kubwa ya kurudiaha CCM Hadi Magufuli akapita kuwa Rais, alimpigia Sana kampeni nchi nzima yeye na Mangula. Haya tuambie Bashiru na polepole wamefanya Nini Cha ziada?
Ile hadaa ya kula perdiem za CCM ndio unaita kurudisha chama??
 
Ile hadaa ya kula perdiem za CCM ndio unaita kurudisha chama??
Wakati wa kikwete unaisha, wengi walijua Ndio mwisho wa ccm, Nape alimnadi Sana Magu kuliko yeyote yule.

Per diem kila mtu anakuka, rejea polepole anaposema "unaijua viete wewe? Hata katibu wa ccm wa wilaya ana viete. Ccm wote ni wapiga dili.
 
Kama hujui wenyewe kwa CCM ni wenyeji, waliokulia kwenye Chama tangu chipukizi, uvccm hadi ngazi ya wazazi/ wanawake

Hao kina polepole ni wakuja tu!
Huyu Nape angekuwa amezaliwa kwenye ukoo wa Nyerere sipati picha makeke yake yangekuwaje tungekoma wallah!!
 
Ccm hsina wenyewe.. hao wanaoitwa wenyewe ni matapeli tuu je sifa ya mwanaccm ni nini
katiba ya ccm inasemaje
kuna sehemu kwenye katiba ya ccm kuwa imesema ccm ni chama chenye wenyewe na wengine wote ni wakuja.
acheni ushabiki na ujinga.
kwasasa hv tanzania 98% ni wajinga vichwani
We ndiyo umejua leo??
 
Nape is overrated, nje ya hao godfathers wake hana uwezo wa ku-survive politically.
 
Si kweli Nape alifanya kazi kubwa ya kurudiaha CCM Hadi Magufuli akapita kuwa Rais, alimpigia Sana kampeni nchi nzima yeye na Mangula. Haya tuambie Bashiru na polepole wamefanya Nini Cha ziada?
Nakumbuka mwaka 2015 hata hayati Magufuli mwenyewe alikuwa anajinadi yeye kama yeye na siyo Chama, maana Chama kilikuwa hoi
 
Back
Top Bottom