Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Baba yake mwenyewe alifutwa Kaz na MwlHuyu Nape angekuwa amezaliwa kwenye ukoo wa Nyerere sipati picha makeke yake yangekuwaje tungekoma wallah!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yake mwenyewe alifutwa Kaz na MwlHuyu Nape angekuwa amezaliwa kwenye ukoo wa Nyerere sipati picha makeke yake yangekuwaje tungekoma wallah!!
Nape, January, Sendeka Mmmmh tuwe nao macho sana uwezo wao ni mdogo lakini wanapenda madaraka na vyeo. Tunaomba mdahalo kati ya Nape na Polepole.....January na Polepole kuhusu uongozi na mambo mtambuka katika jamii.Kwa muda mrefu nimekuwa ni adui wa kauli na utendaji usiofata misingi wa Nape Nnauye. Kauli zake Mara nyingi zinaonesha ni mtu anayejisikia, mtu ambaye anaamini kwamba bila yeye CCM haiwezi kusonga mbele,kwa kifupi anajiona ni mungu mtu ndani ya CCM.
Nape anachotakiwa kujua ni kwamba chini yake kama katibu wa itikadi na uenezi CCM kilikuwa dhaifu sana na ilikuwa ni aibu kujiita mwanaCCM lakini ni huyu anayemuita kiroboto ,wa kuja ndo kakiheshimisha chama pakubwa sana. Kazi iliyofanywa na kiroboto ni kubwa sana.
Nape kubali kataa lakini Polepole amekuzidi uwezo, maarifa na ujengaji hoja bado una nafasi ya kujifunza mazuri yako na ukaonekana bora kuliko kujiona unajua kila kitu kumbe tunaokufahamu tunaona aibu hata kukuzungumzia mbele za wenye akili timamu.
Hakika Nape umejua kukidhalilisha na kukifedhesha Chama cha mapinduzi kwa kusema kwamba CCM kina wenyewe, kama wenyewe unaowasemea na wewe ni mmojawapo basi hakuna namna zaidi ya kusikitika na kuhuzunika kwa uharibufu mkubwa uliofanywa chini yako. Kama umeyasahau nitaendelea kukukumbusha ili ujielewa sisi wanaCCM wenzako tunakuonaje
Hii ni Moja ya kauli za kipuuzi kabisa nilizawahi kuzisikia!CCM kina wenyewe
Kamfufue ndo aje amfukuze nape.Kwa muda mrefu nimekuwa ni adui wa kauli na utendaji usiofata misingi wa Nape Nnauye. Kauli zake Mara nyingi zinaonesha ni mtu anayejisikia, mtu ambaye anaamini kwamba bila yeye CCM haiwezi kusonga mbele,kwa kifupi anajiona ni mungu mtu ndani ya CCM.
Nape anachotakiwa kujua ni kwamba chini yake kama katibu wa itikadi na uenezi CCM kilikuwa dhaifu sana na ilikuwa ni aibu kujiita mwanaCCM lakini ni huyu anayemuita kiroboto ,wa kuja ndo kakiheshimisha chama pakubwa sana. Kazi iliyofanywa na kiroboto ni kubwa sana.
Nape kubali kataa lakini Polepole amekuzidi uwezo, maarifa na ujengaji hoja bado una nafasi ya kujifunza mazuri yako na ukaonekana bora kuliko kujiona unajua kila kitu kumbe tunaokufahamu tunaona aibu hata kukuzungumzia mbele za wenye akili timamu.
Hakika Nape umejua kukidhalilisha na kukifedhesha Chama cha mapinduzi kwa kusema kwamba CCM kina wenyewe, kama wenyewe unaowasemea na wewe ni mmojawapo basi hakuna namna zaidi ya kusikitika na kuhuzunika kwa uharibufu mkubwa uliofanywa chini yako. Kama umeyasahau nitaendelea kukukumbusha ili ujielewa sisi wanaCCM wenzako tunakuonaje
Nape ni mwanasiasa wa siasa za mipasho, matukio, na ni opportunist. Polepole ni mwanasiasa anayeishi kwa utafiti, usomi, anaijua imani ya chama na anaitetea bila uoga. Si mtu wa majungu, fitna na vijemmbe vya kisiasa.Kwa muda mrefu nimekuwa ni adui wa kauli na utendaji usiofata misingi wa Nape Nnauye. Kauli zake Mara nyingi zinaonesha ni mtu anayejisikia, mtu ambaye anaamini kwamba bila yeye CCM haiwezi kusonga mbele,kwa kifupi anajiona ni mungu mtu ndani ya CCM.
Nape anachotakiwa kujua ni kwamba chini yake kama katibu wa itikadi na uenezi CCM kilikuwa dhaifu sana na ilikuwa ni aibu kujiita mwanaCCM lakini ni huyu anayemuita kiroboto ,wa kuja ndo kakiheshimisha chama pakubwa sana. Kazi iliyofanywa na kiroboto ni kubwa sana.
Nape kubali kataa lakini Polepole amekuzidi uwezo, maarifa na ujengaji hoja bado una nafasi ya kujifunza mazuri yako na ukaonekana bora kuliko kujiona unajua kila kitu kumbe tunaokufahamu tunaona aibu hata kukuzungumzia mbele za wenye akili timamu.
Hakika Nape umejua kukidhalilisha na kukifedhesha Chama cha mapinduzi kwa kusema kwamba CCM kina wenyewe, kama wenyewe unaowasemea na wewe ni mmojawapo basi hakuna namna zaidi ya kusikitika na kuhuzunika kwa uharibufu mkubwa uliofanywa chini yako. Kama umeyasahau nitaendelea kukukumbusha ili ujielewa sisi wanaCCM wenzako tunakuonaje
Jpm,tingatinga alikuwa anajiuza Mwenyewe,bila kampeni zao .ndo maana ccm walimpitisha.ndo mtu safe I pekee alikuwa amebakia mwadilifu.hao wahuni walikuwa wanamfuata kinafiki kwenye kampeni kujipendekeza tu ili awape lakoulaji,waendelee kupata. alikuwa na uwezo wa kushinda bila kampeni zao za kinafiki.Wakati wa kikwete unaisha, wengi walijua Ndio mwisho wa ccm, Nape alimnadi Sana Magu kuliko yeyote yule.
Per diem kila mtu anakuka, rejea polepole anaposema "unaijua viete wewe? Hata katibu wa ccm wa wilaya ana viete. Ccm wote ni wapiga dili.
Chipukizi wa ukweli tuliyekuwa tunamjua sisi ni Frank Uhahula, huyu Nape ana bahati tu ya kuzaliwa kwa kiongozi mwandamizi wa chama na kulelewa na Jakaya.Kama hujui wenyewe kwa CCM ni wenyeji, waliokulia kwenye Chama tangu chipukizi, uvccm hadi ngazi ya wazazi/ wanawake
Hao kina polepole ni wakuja tu!
Wamesahau watu walikuwa wanshindwa hata kuvaa nguo za rangi ya kijani au manjano,ukipita mitaani watu walikuwa wanakuzomea kama si Magufuli CCM ya Kikwete ilikuwa inamfia yeye Kinana na hao akina Nape. Na tunakoenda haii itakuwa hivyo hivyo muda si mrefu ,majigambo ya wahuni akina Bulembo,Nape hayakisaidii chama bali ndio yanazidisha chuki wao wanadhani kumnaga mwendazake kupitia kwa akina Polepole ndio kunawafanya waonekane wana CCM wa ukweli na uhakika mbele ya mama, wamesahau walio wengi walivyokuwa na imani na mwendazake na timu yake.Magufuli alijinadi mwenyewe kwa kazi zake
Unaweza kuanzia chipukizi lakini ukawa mhuni sasa faida yako itakua haina maana kwenye chama.Kama hujui wenyewe kwa CCM ni wenyeji, waliokulia kwenye Chama tangu chipukizi, uvccm hadi ngazi ya wazazi/ wanawake
Hao kina polepole ni wakuja tu!
Kunguni mtasagiana sanaKwa muda mrefu nimekuwa ni adui wa kauli na utendaji usiofata misingi wa Nape Nnauye. Kauli zake Mara nyingi zinaonesha ni mtu anayejisikia, mtu ambaye anaamini kwamba bila yeye CCM haiwezi kusonga mbele,kwa kifupi anajiona ni mungu mtu ndani ya CCM.
Nape anachotakiwa kujua ni kwamba chini yake kama katibu wa itikadi na uenezi CCM kilikuwa dhaifu sana na ilikuwa ni aibu kujiita mwanaCCM lakini ni huyu anayemuita kiroboto ,wa kuja ndo kakiheshimisha chama pakubwa sana. Kazi iliyofanywa na kiroboto ni kubwa sana.
Nape kubali kataa lakini Polepole amekuzidi uwezo, maarifa na ujengaji hoja bado una nafasi ya kujifunza mazuri yako na ukaonekana bora kuliko kujiona unajua kila kitu kumbe tunaokufahamu tunaona aibu hata kukuzungumzia mbele za wenye akili timamu.
Hakika Nape umejua kukidhalilisha na kukifedhesha Chama cha mapinduzi kwa kusema kwamba CCM kina wenyewe, kama wenyewe unaowasemea na wewe ni mmojawapo basi hakuna namna zaidi ya kusikitika na kuhuzunika kwa uharibufu mkubwa uliofanywa chini yako. Kama umeyasahau nitaendelea kukukumbusha ili ujielewa sisi wanaCCM wenzako tunakuonaje
Binafsi nilimpaka kura Magu 2015 si kwasababu ya maneno yake wala ya wale wanamzunguka!Wakati wa kikwete unaisha, wengi walijua Ndio mwisho wa ccm, Nape alimnadi Sana Magu kuliko yeyote yule.
Per diem kila mtu anakuka, rejea polepole anaposema "unaijua viete wewe? Hata katibu wa ccm wa wilaya ana viete. Ccm wote ni wapiga dili.
Hao uliowataja waliiiheshimisha CCM Kwa kukigeuza kuwa Jeshi?Kumlinganisha Nape na POLEPOLE ni kumkosea kabisa POLEPOLE.
Akili ya POLEPOLE ni sawa na akili ya Nape ikizidishwa mara 20.
JPM, POLEPOLE, DR. BASHIRU na wengineo ndo waliokiheshimisha CCM kwa Watanzania.
Utamlinganishaje mtu aliyeua Chama na aliyekijenga Chama?
Japo simkubali polepole kutokana na unafiki wake....ila hao guruwe watapigwa za uso watatoka hawaoni.....ni wachanga sana kwa polepole hao kwenye hizo ishu....waulize kupiga madili tu.Nape, January, Sendeka Mmmmh tuwe nao macho sana uwezo wao ni mdogo lakini wanapenda madaraka na vyeo. Tunaomba mdahalo kati ya Nape na Polepole.....January na Polepole kuhusu uongozi na mambo mtambuka katika jamii.
Magufuli alijinadi mwenyewe kwa kazi zake
Nasisitiza kuwa Magufuli aliikomboa CCM kwa haiba na msimamo wakeHapa dawa yake UP - hapa kazi tu
Nasisitiza kuwa Magufuli aliikomboa CCM kwa haiba na msimamo wake