Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni personal attacks tu, kwani kutoka kusimamiwa na utumishi kwenda kusimamiwa na wizara inayohusika na TEHAMA mbona ni sawa? Wakati eGA inaanzishwa wizara ya TEHAMA haikuwepo, ndiyo maana ikasimamiwa na Utumishi, sasa ivi wizara ipo, Kuna shida Gani kwenda wizara husika???Eng Kundo ana mapungufu yake , lakini ni bora kuliko Nape , Nape ni kituko , anafanya mambo ya hatari sana , lakini kwenye public ana dsplay sympath, ni mhujumu mkubwa sana wa Mama Samia na anatumwa na watu wa hovyo sana
Hebu tugawie hayo matokeo tuone Nape alipata A ngapi na Kama alipata hata C moja.Leo nimeona natokeo yake ya mtihani kidato Cha nne Hadi nikashindwa kujizuia kucheka
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Nchi hii kila Kona ni vilio.Waziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).
Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.
Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.
Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.
Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.
Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.
Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.
Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness
Umeongea sahihi sana, na una logic ,lakini hizo sio logic wanazotaka akina Nape kutumiaHizi ni personal attacks tu, kwani kutoka kusimamiwa na utumishi kwenda kusimamiwa na wizara inayohusika na TEHAMA mbona ni sawa? Wakati eGA inaanzishwa wizara ya TEHAMA haikuwepo, ndiyo maana ikasimamiwa na Utumishi, sasa ivi wizara ipo, Kuna shida Gani kwenda wizara husika???
Yaani kama kijijini kwenu mlikuwa mnapanda Lori kwenda mjini kwa sababu mabasi hayakuwepo, sasa ivi yamekuja mabasi mtaendelea kupanda malori?? Declare kwanza interest, inaonekana uko wizara ya Utumishi ambapo mmezoea kutawala wizara nyingine kwa kugawana vyeo, Kuna kamtindo kameanza siku izi mkurugenzi akistaafu wizara flani badala ya kupandishwa cheo aliye chini yake mnaleta junior (relatively) staff Toka Utumishi kuchukuwa nafasi
Nchi ina vijana wa hovyo sana hahahahaNchi hii kila Kona ni vilio.
Na kimtu analia kwa wakati wake.
Ila Kwasababu wakati wengine wanalia wewe hukuona tatizo.
Na wewe ni zamu yako Sasa kuisoma namba
IV. 29Form Four Failure anapewa Wizara? Hii serikali ya kitapeli ya CCM hovyo sana
Mkuu asante kwa taarifa.Waziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).
Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.
Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.
Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.
Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.
Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.
Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.
Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness
HahahaWaziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).
Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.
Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.
Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.
Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.
Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.
Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.
Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness
Huyu si ndiyo kafanya tuwakose Starlink ya Elon Musk na sasa wapo Kenya wanasambaza Internet kwa Bei Chee.Shida hawa Kenge wanamuina Samia kama Mama Yao na sio Rais!Waziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).
Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.
Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.
Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.
Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.
Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.
Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.
Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness
Mchana wakae na Dr Kumbuka kuchamba watu!Kuna kazi pale Wasafi FM ndo ingemfaa sana, ila sijajua ni kipindi gani
Ndio matokeo ya kuwapa vilaza nafasi kubwa za maamuzi, wakati wa JPM hakukuwa na wajinga kama hao kwenye nafasi za maamuziWaziri Nape Nnauye anaongoza kampeni za kuua Mamlaka ya serikali Mtandaoni (E-GA).
Syndicate inayoongozwa na Nape Nnauye imepanga kuitoa taasisi hii (E-GA) , toka utumishi iliyo chini ya ofisi ya Rais , na kuipeleka Wizara ya TEHAMA.
Lengo lililonyuma ya uamuzi huu ni katili sana, Nape anataka kulipa fadhila kwa wafadhili wake kwa kuwapa tenda za mifumo ya serikali marafiki zake wenye hisa kwenye makapuni ya TEHAMA ya nje na baadhi ndani ya nchi.
Nape amekua mstari wa mbele kuchinganisha viongozi wa E-GA ili waonekane hawako Productive na wanahitaji kusimamiwa na wizara yake.
Waziri Nape anamshinikiza Eng Kundo ambaye ni Naibu waziri wake wapeleke mswaada wa dharula kuihamishia wizara ya TEHAMA E-GA.
Nape Nnauye ni bora ahamishiwe itikadi na uenezi kwenye chama, akapige siasa sawasawa , lakini kwenye Uwaziri tena wa Wizara ya TEHAMA , ni suala la Muda tu, amekua kuwadi wa Makampuni binafsi na ya marafiki zake.
Ni aibu, narudia tena ni aibu sana unachokifanya Nape Nnauye.
Nasema tena ukiachana na suala la Kuua E-GA , acha kabisa mipango ya kumhujumu Magila Tech na kumframe awe kwenye mitanziko na watawala. Unasuka mipango ya kumdhuru kijana huyu kwa faida zako mwenyewe , please stop this madness