Nape Nnauye abadilishwe Wizara haraka sana

Nina wasiwasi na hoja yako,emu lete uthibitisho kuwa E-GA wapo chini ya Ofisi ya Utumishi?
Kama ipo huko basi itakuwa makosa makubwa sana ya kiufundi,inapaswa kuwepo chini ya Wizara ya Mawasiliano.
Ngoja nifatilie.
Unaomba ushahidi ? kwa nikuletee memo au?
 
Uko mbali sana na uelewa , na mpaka hapo wewe inaonekana hujawahi kufanya kazi serikalini na kama umewahi ur too junior
 
Aondolewe kabisa. Hana sifa. Ni kibaka tu fulani aliyebahatika kupata nafasi kwa ajili ya Sir name yake. Nakumbuka huko nyuma familia ya Nahuye ilipotoa TANGAZO la memorial ya Mzee Moses Nahuye, Nape hakutajwa kama wanafamilia. He's a buster kid.
 
Huyo ni mpigaji tu. Uroho wa hela na dili ndio zinamuongoza kwenye utendaji wake. Ni mtu mwenye hila sana.
 
Nape bure kabisa, wameacha makampuni za simu zinaibia watu hovyo mara unanunua vocha hujajiunga tayari wameshakata kiasi fulani cha pesa na kwa nini utaratibu huu wa kujiunga usifutwe..?? Kwani una maana gani??
 
Mkuu sorry nataka nikuulize jambo, magila tech yuko connected vipi an E-GA? Nilimwona juu kwa juu na kampuni yake lakini sikipata details za kutosha.
 
Mkuu sorry nataka nikuulize jambo, magila tech yuko connected vipi an E-GA? Nilimwona juu kwa juu na kampuni yake lakini sikipata details za kutosha.
Sita weka details za kutosha hapa kuhusu Magila Tech , lakini kwa kifupi Nape ameshamframe kijana aonekane Mhaini wakati hana hatia.
Nape anamchongea Magila kwa viongozi waandamizi wa serikali mpaka ameanza kuhamisha uwekezaji wake kwenda Congo na Dubai.
Nape anataka kumuua kiufupi Magila ,sio kuua kampuni ni kumuua yeye mwenyewe Magila .
Kama atasoma hapa huyo Magila asipokee Apointment yeyote ya Nape au watu wa karibu wa Nape. Atanishukuru.
Najua kama sio week ijayo itakua tayar invitation ametumiwa ya yeye kuwa consultant kwenye chombo nyeti cha serikali.Magila wanataka kukuua .
Magila akisoma hapa anajua 100% sababu za wao kutaka kumuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…