KERO Nape Nnauye afungia mtandao wa Clubhouse, haupatikani Tanzania bila VPN

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
CCM waoga kwelikweli. Hawataki wananchi wawe na access na taarifa za kutosha ili wasiamke
 
Sijaelewa, mfano twitter waamue kuifungia Tanzania kisa kuna hasara. Hii ngumu kumeza, wanatafuta wateja mtandao uwe na mpana harafu waje wabane sehemu ndogo. Kwa nn wasifungie Malawi wafungie Tz.
Ni nape kafunga usitetee
 

Kama watu wanapigazana kelele wakiwa wamelewa ni hasara, bar zote si zingefungwq? Acha utoto dogo.
 
Mbona maudhui ya kishoga katika mitandao wanayafumbia macho?
 
Sijaelewa, mfano twitter waamue kuifungia Tanzania kisa kuna hasara. Hii ngumu kumeza, wanatafuta wsteja mtandao uwe na mpana harafu waje wabane sehemu ndogo. Kwa nn wasifungie Malawi wafungie Tz.
Ni nape kafunga usitetee
Mjumbe wa ajabu. Kwanza umesema huelewi halafu unazidi kueleza, huoni kuna tatizo hapo? Ila kwa kweli huelewi, ngoja nikusaidie. Chukua mfano wa TANU au tusema YANGA, ina Malawi duniani kote. Ukidikia tawi la YANGA la Denmark linatoa uongo, au linavunja sheria za huko, ni sawa YANGA Makao Makuu kulichukulia hatua za kinidhamu, ikiwamo kulifunga.
 
WaTz hawana cha maana wanachojadili huko , wacha Nape afungie tu wanajadili upupu mtupu.
 
Ndio italichukulia hizo hatua kimya kimya ?? Kwa hiyo wa Tz ndio tunawaingizia hasara sio.
Nakwambia
nape kafunga, kajamaa kaoga, si umeona hata hizi tv za local wamebana tena. Wanataka tbc ndio isikike. mmefungulia mikutano mkabana local tv.
Siwaelewi nyinyi chawa na nitaelezea....
 
Zile websites pendwa zimekosa watetezi kabisa ilhali ndiyo zinatembelewa zaidi kuliko hata hiyo "discohouse".
 
Nape strikes again.

Ukishaonja kula nyama za watu, kamwe hutoacha...
Hawa huwa ni watu wabinafsi sana kwani wanajali matumbo yao tu, kama kuifungia club house hiyo ni kwa ajili ya kulinda cheo chake tu sio vinginevyo, hata alipofungia Bunge live sababu ilikuwa hiyo hiyo na ndio maana alipoondolewa madarakani akajifanya kujutia kitendo kile, unafiki mtupu.
 
Huyo jamaa Ana laana ya makamba senior kuwa umelahaniwa mbinguni na duniani

Sasa Kuna mtu Happ

Yule aliyemtolea bastola angemalizana nae tu tupunguze wanafiki Kama yeye

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hili jambo ni muhimu likatekelezwa ili kusaidia Wananchi kuifikia Internet kwa urahisi .

Ifahamike kwamba bila kuingia mitandaoni ni sawa na kuzikwa kaburini ukiwa hai , maana sasa imejulikana kwamba Watawala bado wana vimelea vile vile vya awamu ya kikatili

Rejea ya Club House
 
Nape alituambia kwamba Mungu aliamua ugomvi, kwa maana Magifuli kuna watu alikuwa na ugomvi nao ila Mungu akaingilia na kuondoa uhai wa Magufulu na hivyo hao maadui zale wakawa washindi.

Muhimu hapa wale waliyojipa kazi ya kueleza maovu tu ya Magufuli ili wengine wajifunze basi wanatakiwa waongeze kueleza hayo maovu ya Magufuli ili hao wakina Nape wajifunze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…