mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ashukuru kwa kupata nafasi huko serikalini,huyo bila huko huku mtaani angepigika sanaHuyu bwana na diploma yake ni tabu na kiama kwa nchi hii,hapo tutegemee bando kupandishwa bei,gb1 sh 5000.
Sasa ulazimishe ntu kufanya kazi utadhani anaishi kwako,je hilo bando la kushinda mtandaoni anapewa bure?
Hopless minister ever
Ova