Pre GE2025 Nape Nnauye amtabiri mshindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa bila goli la mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Namba ni facts na ziko kwenye makaratasi zinaweza kubadilishwa na ukweli ambao nyinyi mnaugopa.Ukweli hauna mbadala.Labda wajumbe ajizi.
 
Namba ni facts na ziko kwenye makaratasi zinaweza kubadilishwa na ukweli ambao nyinyi mnaugopa.Ukweli hauna mbadala.Labda wajumbe ajizi.
Sasa kama wewe una akili Timamu unaweza kushindwa kuelewa kuwa lissu atangukia pua na kuvunja meno? Embu jiulize wenyeviti wangapi walihudhuria jana kumtaka na kumuomba Mbowe agombee Uenyekiti? Je uliona lissu ameungwa mkono na wenyeviti gani wa CHADEMA? Sasa wewe huoni kuwa Mbowe atashinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Tanzania?
 
Akili zangu timamu haziangalii wingi wa wenyeviti walioitwa na mwkt;Ninaangalia hoja za mtangaza nia, mwkt bado hajatangaza nia.
 
Kwa hiyo na wewe na akili zako Timamu unaweza moja kura lissu?
Mimi hupenda watu wanyoofu na wakweli...

Kwakweli kura yangu ningempa Lissu...

Nimezaliwa na uwezo ambapo nikimuangalia mtu mala moja tu naweza kujua tabia zake...

Mfano pale Chadema kuna viongozi wengi sio wapinzani ni wasaka fedha tu, na Mbowe ni mmoja wao...

Kuna watu kama Zitto Kabwe, Yericko Nyerere, Boni Yai, Martin Masese, Lema, Maalim Seif, Fatuma Karume hawa ni CCM ila sio rahisi kuwajua.
 
Lissu ana nguvu gani? Mbona alikataliwa na watanzania alipogombea Urais 2020?
Kwamba kura halali ndo zinaamuaga mshindi? Kwenye tume iliyoteuliwa na Nani? Tena wa itikadi gani ya kisiasa?? Kuwa serious basi, nchi za watu zimee ndelea baada ya kuacha usenge usenge kwenye michakato muhimu kama uchaguzi. ....
UNAINGILIWA SI BURE.
 
Zilaaniwe Shahawa chafu zilizokuzaa kocho wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…