Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzimaKwamba kura halali ndo zinaamuaga mshindi? Kwenye tume iliyoteuliwa na Nani? Tena wa itikadi gani ya kisiasa?? Kuwa serious basi, nchi za watu zimee ndelea baada ya kuacha usenge usenge kwenye michakato muhimu kama uchaguzi. ....
UNAINGILIWA SI BURE.
Kwahiyo baba wa Taifa ndio S.I unit wa umoko wa madaraka kwa viongozi karne hii ya 21, acha ujinga basi lucasUmri ndio nini? Hayati Bana wa Taifa Mwalimu Nyerere alikuwa Mwenyekiti wa CCM kwa Miaka mingapi na alistaafu uenyekiti akiwa na miaka mingapi?
Umesahau alivyo wahenyesha CHADEMA alipokuwa Mwenezi wa CCM Taifa?
Sasa ina maana lissu hoja zake hazieleweki kwa yeyote yule mpaka anashindwa kupata uungwaji mkono?Akili zangu timamu haziangalii wingi wa wenyeviti walioitwa na mwkt;Ninaangalia hoja za mtangaza nia, mwkt bado hajatangaza nia.
RubbishNdugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri .
Ameibuka kibabe na kutoa uchambuzi wake mfupi na tathmini yake fupi juu ya nani anakwenda kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha uenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Ambapo amesema uchaguzi ni namba na kwa namba za sasa Amemtaja mshindi wa kiti hicho hata Kabla ya kufanyika uchaguzi. Ikumbukwe ya kuwa huyu Mwamba ni Miongoni kwa Waenezi wa CCM machachari kwelikweli kuwahi kushika nafasi hiyo na ambaye alijua kucheza na akili za upinzani na kugusa hisia za watu mpaka kuwabubujisha machozi ya furaha.
Huyu Mwamba alikuwa Mtata kwelikweli kwenye vimisemo vya hapa na pale ambavyo vimeendelea kubakia kama kumbukumbu katika uga wa siasa. Mfano wa kauli zake zilizotikisa ni kama ile ya Bao la Mkono. Huyu Mwamba alikuwa akishika Maiki inakuwa balaa kwelikweli.
Lakini pia huyu Mwamba wakati wake alijua namna ya kucheza na mitandao katika kukisemea chama na kukitetea ni wakati wake ambapo vijana wengi sana walijaa hapa jukwaani kukitetea chama na kukipigania usiku na mchana na ni wakati wake hadi kuliibuka jina la utani kwa wafuasi wa CCM humu jukwaani kwa kuitwa LUMUMBA BUKU 7ππ.
Watu wakifikiria kuwa pengine vijana walikuwa wakilipwa kwa namna walivyokuwa wakichapa kazi bila kuchoka wala kupumzika mpaka upinzani hasa CHADEMA ukawa unafikia hatua ya kukata pumzi na kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu.,
Watu wanashindwa kuelewa kuwa sisi wana CCM huwa tunafanya kazi za chama kizalendo kwa kujitolea kwa hali na mali bila kupewa malipo wala kuhitaji malipo. Maana vitu vizuri hujengwa na mioyo yenye kujitolea.ndio maana wengine hufikia hatua ya kufikiri labda hata mimi nalipwa kuwepo hapa jukwaani bila kujua ni misingi tuliyojengewa ndani ya CCM kukipigania chama chetu kwa jasho na kwa kujitolea bure kabisa.
View attachment 3180134
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hukuona wabunge wakirejea CCM kwa kishindo baada ya uchaguzi?Aliihenyesha vipi Chadema ....!!? Kwa goli la MKONO?
Wakati wake CCM Chadema ilipata Wabunge wengi zaidi.
Una habari ya uchaguzi wa CUF na ushindi wa Prof. Lipumba?Uchaguzi ni uchaguzi tu.ilmradi unahusisha watu
Wewe unafikiri kuwa Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni kazi nyepesi? Acheni Mbowe apewe Maua yake .Leo hii CCM wanapambana Mbowe ashinde!!! Mbowe huyuhuyu aliyeitwa dikteta!!! Mpaka hapo tushamjua mpinzani wa kweli ni nani na kibaraka amejulikana pia.
NdioUna habari ya uchaguzi wa CUF na ushindi wa Prof. Lipumba?
Upinzani unahitaji viongozi wenu roho ngumu kama Mbowe.wenye uwezo wa kujitoa na kujitolea kwa hali na mali.tofauti na lissu ambaye amekuwa akitanguliza mbele maslahi yake binafsi.kwanza lissu hana upendo kwa CHADEMA ndio maana hata kura hakupiga uchaguzi wa serikali za mitaaKwahiyo baba wa Taifa ndio S.I unit wa umoko wa madaraka kwa viongozi karne hii ya 21, acha ujinga basi lucas
Nape kaongelea facts mkuu sio kuungana mkono... Nape anamuunga mkono mwenyekiti wake wa Taifa πUkiona unaungwa mkono na mapipa kama Nape, ujue wewe ni mfuniko.
Mbona NAPE yupo humu humu na Swahiba wako sana huwa mnapongezana mwanzo mwisho ?Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri .
Ameibuka kibabe na kutoa uchambuzi wake mfupi na tathmini yake fupi juu ya nani anakwenda kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha uenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Ambapo amesema uchaguzi ni namba na kwa namba za sasa Amemtaja mshindi wa kiti hicho hata Kabla ya kufanyika uchaguzi. Ikumbukwe ya kuwa huyu Mwamba ni Miongoni kwa Waenezi wa CCM machachari kwelikweli kuwahi kushika nafasi hiyo na ambaye alijua kucheza na akili za upinzani na kugusa hisia za watu mpaka kuwabubujisha machozi ya furaha.
Huyu Mwamba alikuwa Mtata kwelikweli kwenye vimisemo vya hapa na pale ambavyo vimeendelea kubakia kama kumbukumbu katika uga wa siasa. Mfano wa kauli zake zilizotikisa ni kama ile ya Bao la Mkono. Huyu Mwamba alikuwa akishika Maiki inakuwa balaa kwelikweli.
Lakini pia huyu Mwamba wakati wake alijua namna ya kucheza na mitandao katika kukisemea chama na kukitetea ni wakati wake ambapo vijana wengi sana walijaa hapa jukwaani kukitetea chama na kukipigania usiku na mchana na ni wakati wake hadi kuliibuka jina la utani kwa wafuasi wa CCM humu jukwaani kwa kuitwa LUMUMBA BUKU 7ππ.
Watu wakifikiria kuwa pengine vijana walikuwa wakilipwa kwa namna walivyokuwa wakichapa kazi bila kuchoka wala kupumzika mpaka upinzani hasa CHADEMA ukawa unafikia hatua ya kukata pumzi na kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu.,
Watu wanashindwa kuelewa kuwa sisi wana CCM huwa tunafanya kazi za chama kizalendo kwa kujitolea kwa hali na mali bila kupewa malipo wala kuhitaji malipo. Maana vitu vizuri hujengwa na mioyo yenye kujitolea.ndio maana wengine hufikia hatua ya kufikiri labda hata mimi nalipwa kuwepo hapa jukwaani bila kujua ni misingi tuliyojengewa ndani ya CCM kukipigania chama chetu kwa jasho na kwa kujitolea bure kabisa.
View attachment 3180134
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna mwana CCM, hasa wale waliozoea siasa za uongo uongo anataka upande wa pili kuwe na Lissu...Nape kaongelea facts mkuu sio kuungana mkono... Nape anamuunga mkono mwenyekiti wake wa Taifa π
Hakuna mwenye akili Timamu mwenye kuweza kumchagua Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.Ni Mwamba Mbowe ndio chaguo la wana CHADEMAHakuna mwana CCM, hasa wale waliozoea siasa za uongo uongo anataka upande wa pili kuwe na Lissu...
So naamini wana CCM wababaishaji kama Nape, Makamba, Kikwete, Kinana na aina hiyo wangependa mwongo mwenzao Mbowe aendelee.
Hayawahusu.Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri .
Ameibuka kibabe na kutoa uchambuzi wake mfupi na tathmini yake fupi juu ya nani anakwenda kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha uenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Ambapo amesema uchaguzi ni namba na kwa namba za sasa Amemtaja mshindi wa kiti hicho hata Kabla ya kufanyika uchaguzi. Ikumbukwe ya kuwa huyu Mwamba ni Miongoni kwa Waenezi wa CCM machachari kwelikweli kuwahi kushika nafasi hiyo na ambaye alijua kucheza na akili za upinzani na kugusa hisia za watu mpaka kuwabubujisha machozi ya furaha.
Huyu Mwamba alikuwa Mtata kwelikweli kwenye vimisemo vya hapa na pale ambavyo vimeendelea kubakia kama kumbukumbu katika uga wa siasa. Mfano wa kauli zake zilizotikisa ni kama ile ya Bao la Mkono. Huyu Mwamba alikuwa akishika Maiki inakuwa balaa kwelikweli.
Lakini pia huyu Mwamba wakati wake alijua namna ya kucheza na mitandao katika kukisemea chama na kukitetea ni wakati wake ambapo vijana wengi sana walijaa hapa jukwaani kukitetea chama na kukipigania usiku na mchana na ni wakati wake hadi kuliibuka jina la utani kwa wafuasi wa CCM humu jukwaani kwa kuitwa LUMUMBA BUKU 7ππ.
Watu wakifikiria kuwa pengine vijana walikuwa wakilipwa kwa namna walivyokuwa wakichapa kazi bila kuchoka wala kupumzika mpaka upinzani hasa CHADEMA ukawa unafikia hatua ya kukata pumzi na kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu.,
Watu wanashindwa kuelewa kuwa sisi wana CCM huwa tunafanya kazi za chama kizalendo kwa kujitolea kwa hali na mali bila kupewa malipo wala kuhitaji malipo. Maana vitu vizuri hujengwa na mioyo yenye kujitolea.ndio maana wengine hufikia hatua ya kufikiri labda hata mimi nalipwa kuwepo hapa jukwaani bila kujua ni misingi tuliyojengewa ndani ya CCM kukipigania chama chetu kwa jasho na kwa kujitolea bure kabisa.
View attachment 3180134
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
wana CCM wamekubali yaishe nchi ipewe chadema sasaNdugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri .
Ameibuka kibabe na kutoa uchambuzi wake mfupi na tathmini yake fupi juu ya nani anakwenda kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha uenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Ambapo amesema uchaguzi ni namba na kwa namba za sasa Amemtaja mshindi wa kiti hicho hata Kabla ya kufanyika uchaguzi. Ikumbukwe ya kuwa huyu Mwamba ni Miongoni kwa Waenezi wa CCM machachari kwelikweli kuwahi kushika nafasi hiyo na ambaye alijua kucheza na akili za upinzani na kugusa hisia za watu mpaka kuwabubujisha machozi ya furaha.
Huyu Mwamba alikuwa Mtata kwelikweli kwenye vimisemo vya hapa na pale ambavyo vimeendelea kubakia kama kumbukumbu katika uga wa siasa. Mfano wa kauli zake zilizotikisa ni kama ile ya Bao la Mkono. Huyu Mwamba alikuwa akishika Maiki inakuwa balaa kwelikweli.
Lakini pia huyu Mwamba wakati wake alijua namna ya kucheza na mitandao katika kukisemea chama na kukitetea ni wakati wake ambapo vijana wengi sana walijaa hapa jukwaani kukitetea chama na kukipigania usiku na mchana na ni wakati wake hadi kuliibuka jina la utani kwa wafuasi wa CCM humu jukwaani kwa kuitwa LUMUMBA BUKU 7ππ.
Watu wakifikiria kuwa pengine vijana walikuwa wakilipwa kwa namna walivyokuwa wakichapa kazi bila kuchoka wala kupumzika mpaka upinzani hasa CHADEMA ukawa unafikia hatua ya kukata pumzi na kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu.,
Watu wanashindwa kuelewa kuwa sisi wana CCM huwa tunafanya kazi za chama kizalendo kwa kujitolea kwa hali na mali bila kupewa malipo wala kuhitaji malipo. Maana vitu vizuri hujengwa na mioyo yenye kujitolea.ndio maana wengine hufikia hatua ya kufikiri labda hata mimi nalipwa kuwepo hapa jukwaani bila kujua ni misingi tuliyojengewa ndani ya CCM kukipigania chama chetu kwa jasho na kwa kujitolea bure kabisa.
View attachment 3180134
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani Swahiba wako Tlaatlaa anasemaje ? π€£π€£π€£Hakuna mwenye akili Timamu mwenye kuweza kumchagua Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.Ni Mwamba Mbowe ndio chaguo la wana CHADEMA
Anabubujikwa na machozi ya furaha anapoona namna Mwamba Mbowe anavyoendelea kuungwa mkono na wenyeviti karibu wote wa CHADEMA kutoka kila kanda.Kwani Swahiba wako Tlaatlaa anasemaje ? π€£π€£π€£
He was the former idealogy and publicity secretary somewhere........
πππAnabubujikwa na machozi ya furaha anapoona namna Mwamba Mbowe anavyoendelea kuungwa mkono na wenyeviti karibu wote wa CHADEMA kutoka kila kanda.