Pre GE2025 Nape Nnauye amtabiri mshindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa bila goli la mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hamna uchaguzi hapo ni maigizo tu, hicho chama vi viroja tu wapewe chao watie mfukoni basi
 
Hawa ni moja ya vijana ovyo sana kweny hii Nchi ,mbali na tumbo na vyama vyao hawana lolote la maana Kwa ajili ya taifa letu ,mchango wao na uzalendo wao kweny taifa ni mdogo sana na wanapaswa kuitwa " betrayers of our national"
 
Hawa ni moja ya vijana ovyo sana kweny hii Nchi ,mbali na tumbo na vyama vyao hawana lolote la maana Kwa ajili ya taifa letu ,mchango wao na uzalendo wao kweny taifa ni mdogo sana na wanapaswa kuitwa " betrayers of our national"
Mchango wa Mheshimiwa Nape Nnauye ni mkubwa sana kwa Taifa letu.
 
Used tp
 
Hakuna kitu hapo ni UPUZI UPUZI tu sijui uchawa utaacha lini
 
Acha ujinga dogo.ungeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja πŸ˜€
Ccm imewashika pabaya chadema. Leo ukishapita uchaguzi wao uje tena na kuandika mada zinazohusu chadema. Magoli ya mkono ni kazi ya ccm kutakaushindani huku wanatumia policcm.
 
Sasa amemtabiria nani? Mbona hajataja jina?
 
Kama mwamba atachukua fomu ni wazi atatoboa kwa sababu ni YEYE ndo ameineza CHADEMA akizunguka Tanzania nzima ! wakati huo jamaa akizurula ughaibuni.Sasa utamlinganisha vipi mwamba na huyo mzurulaji ?? JAMANI ACHENI MZAHA KWENYE HILI.
 
"Sisi wanaccm tunafanya kazi za chama kwa kujitolea".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…