Nape Nnauye ana maslahi binafsi na hizi kampuni za mitandao?

Nape Nnauye ana maslahi binafsi na hizi kampuni za mitandao?

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Watu wanalalamika vifurushi kupanda bei ingawa hiyo kupanda bei tutapewa maelezo kua sisi tuna nafuu.

Kuna hii ya sasa kifurushi kinaisha haraka na maelezo kua ni hatujui kutumia simu, kweli?

Wakati ukweli ni 1GB ya 2 weeks ago sio sawa na 1GB ya sasa. Sasa hivi inapukutika wakati matumizi ni yale yale. Lakini ukimsikiliza kiongozi wetu anavyotoa majibu mepesi sasa!
 
Nimesoma gazeti la leo kaongea kiwepesi sana kuhusu hili tatizo aisee hizi sehemu nadhani zinahitaji wataalamu wa IT haswaa huyu jamaa ametupoteza na ataendelea kutupoteza..
 
Kumbe wengi tunamawazo yanayofanana kumhusu huyu jamaa, siku zote yeye anatetea makampuni ya simu, halafu hata Kama sisi ndiyo tuna bei ya chini kuliko wengine haimaanishi Kuna ulazima wa makampuni haya kupandisha kila baada ya muda mfupi. Utumbuliwe tu anazingua sana
 
Watu wanalalamika vifurushi kupanda bei ingawa hiyo kupanda bei tutapewa maelezo kua sisi tuna nafuu.

Kuna hii ya sasa kifurushi kinaisha haraka na maelezo kua ni hatujui kutumia simu, kweli?

Wakati ukweli ni 1GB ya 2 weeks ago sio sawa na 1GB ya sasa. Sasa hivi inapukutika wakati matumizi ni yale yale. Lakini ukimsikiliza kiongozi wetu anavyotoa majibu mepesi sasa!
Atakuwa ana commission yake, sio bure
 
Yule straika wa yanga Azizi Ki alishamtia mfukoni kitambo mno pamoja na yule jamaa mwezi december jina lake anafanya matangazo ya kugawa mkaa wa kisasa kwa mama zetu kule kijijini
 
Watu wanalalamika vifurushi kupanda bei ingawa hiyo kupanda bei tutapewa maelezo kua sisi tuna nafuu.

Kuna hii ya sasa kifurushi kinaisha haraka na maelezo kua ni hatujui kutumia simu, kweli?

Wakati ukweli ni 1GB ya 2 weeks ago sio sawa na 1GB ya sasa. Sasa hivi inapukutika wakati matumizi ni yale yale. Lakini ukimsikiliza kiongozi wetu anavyotoa majibu mepesi sasa!
Sijapenda alivyokuwa akijibu yale maswali kwakweli! Najiuliza tu hii biashara sio huria!? Inakuwaje aliyeamua kutuuzia GB nyingi kwa bei chee na linadumu mda mrefu alazimishwe aliuze kwa bei ya aliye juu na bundle lake halidumu!!?
 
Alichoongea Nape ni ukweli. Bando ni huduma ya ziada.
 
Back
Top Bottom