boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Mambo yanayoendelea Ni vigumu kuahamini kwamba Tanzania ni Nchi huru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ulichokisema.Dah!
Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.
Kwangu haki ni haki tu.
Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?
Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Soma post # 423 ya uzi huu.Tunapotaka Jeshi la Polisi liboreshwe na liachane na kasumba za mkoloni tunataka kuepukana na ubabaishaji kama huu wa kuamrisha kufanya kitu hata kama hakina msingi wa kisheria. Kuna wapuuzi wanadhani hili jeshi ni poa tu maana linashughulikia zaidi wapinzani(Lissu na Lema), lakini upuuzi huu unajengeka ndani ya jeshi na matokeo yake watakaoumia zaidi ni wanyonge ambao hata elfu tano ya kumhonga askari amuachie hana.
Haya mambo hayana mwenyewe. Hata rais anaweza kuwa victim wa jeshi kama hili-maana kuna kustaafu. Kuna ndugu na jamaa ambao wanaweza wakaangukia ktk mikono ya jeshi hili babaishaji. Hata askari wenyewe hawako salama ndani ya jeshi hili. Fikiria mtu anakutuma wewe askari ukaue wakati yeye amekaa na mke wake nyumbani. Kumbuka unaua mtu-sio kuku na hivyo damu ya mtu huyo inakuandama maisha yako yote. Mshahara mnaopata enyi askari hautoshi kuua raia wema wanaotumia haki yao ya kikatiba kuwa na mawazo tofauti na watawala.
Hata hivo alifanya poa sana jamaaSidhani km alijua jamaa anayo machine gun
HahahaAaaah katoka nduki lzm kwao vitu vigeni anaviona kwenye muvi tu
Ni kweli ulichokisema.
Lakini mwanausalama alikuwa 'calm' tena aliongea kwa upole 'Mheshimiwa rudi kwenye gari..', Wakati huo Mh. Nape akiwa amevaa shati bila kuchomekea na ameweka mikono yote mifukoni (kulia na kushoto); baadaye anasikika (Nape) akimwambia mwana usalama " ....usinishike hivyo Bwana, ondoka" wakati huo anamsukuma mwanausalama kwa mkono wa kushoto lakini mkono wake wa kulia ukiwa bado humo mfukoni; kwa akili za kawaida...askari lazima ajihami maana huo mkono wakulia wa Nape ambao umo mfukoni hajui umeshika nini. Na hata Nape alivyosukumwa sukumwa hakutoa mkono huo wa kulia mpaka (labda) alipohakikisha kuwa sasa mfuko wa kulia wa suruali lake umezibwa na gari ndipo alipotoa mkono mfukoni. Na watu wakaongezeka pale...!
Naliona hivyo tukio hili. Lakini maelezo mazuri anaweza kuyatoa mwanausalama mwenyewe kwa nini alifanaya vile.
...Ondoka! Wakati huo anamsukuma kwa mkono wa kushoto mwanausalama. Kwa nini alibadili (Nape) 'tone' baada ya mwanausalama kujihami?....
Nape hakuwa belligerent hata kidogo.
.....
...Ondoka! Wakati huo anamsukuma kwa mkono wa kushoto mwanausalama. Kwa nini alibadili (Nape) 'tone' baada ya mwanausalama kujihami?
nimefurahi sana maake harmorapa haya ndiyo magape yakeNi aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.
😀😀😀
Onyo la nini?.....unadhani huwa wanabeba kama mapambo...kwa taarifa yako hakuna silaha inayotengenezwa kwa ajili ya mnyama huwa ni kwa ajili ya binadamu!![]()
Onyo na hatua kali za kinidhamu na za kisheria zichukuliwe dhidi ya askari aliyemtishia Nape kwa bastola.
Ni kweli ulichokisema.
Lakini mwanausalama alikuwa 'calm' tena aliongea kwa upole 'Mheshimiwa rudi kwenye gari..', Wakati huo Mh. Nape akiwa amevaa shati bila kuchomekea na ameweka mikono yote mifukoni (kulia na kushoto); baadaye anasikika (Nape) akimwambia mwana usalama " ....usinishike hivyo Bwana, ondoka" wakati huo anamsukuma mwanausalama kwa mkono wa kushoto lakini mkono wake wa kulia ukiwa bado humo mfukoni; kwa akili za kawaida...askari lazima ajihami maana huo mkono wakulia wa Nape ambao umo mfukoni hajui umeshika nini. Na hata Nape alivyosukumwa sukumwa hakutoa mkono huo wa kulia mpaka (labda) alipohakikisha kuwa sasa mfuko wa kulia wa suruali lake umezibwa na gari ndipo alipotoa mkono mfukoni. Na watu wakaongezeka pale...!
Naliona hivyo tukio hili. Lakini maelezo mazuri anaweza kuyatoa mwanausalama mwenyewe kwa nini alifanya vile.[/Q
Ha ha haa jf is my favourite social networkWewe hili tu la leo limekushangaza hivi, umewahi kujiuliza mama jesca ameshangaa mangapi toka amjue John??
Nimeitaza iyo clip mara ishirini na saba....ndiyo nikatoa maelezo hayo hapo juu. ebu angalia vizuri hiyo clip mwanzoni mwana usalama anaamfuata Nape mpaka hatua ya askari kuamua kujihami......
Maneno ya usinishike toka bwana ni pale alipokuwa amesukumizwa hatua chache kwenda kwenye gari..mkuu umechakachua Maelezo ya tukio
....