Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa goli la mkono hana hamu wamemgeuka. Ila akome nae ndo madhara ya goli la mkono hayo malipo hapa hapa duniani. Bado waliomtolea bastola na wale wa amri kutoka juu wasubiri malipo yaoSiku hii ni moja ya siku ambayo haitasahaulika katika historia ya Taifa hili.
Eeh!! Bwanaee!!
Atakayesamehe unyama huu atakuwa mjinga sana !Mashehe wa Zanzibar,Viongozi wa CHADEMA walioko jela ni Majambazi?!!
Tena tutapigwa na butwaa.Atakayesamehe unyama huu atakuwa mjinga sana !
Siku hii ni moja ya siku ambayo haitasahaulika katika historia ya Taifa hili.
Eeh!! Bwanaee!!