JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Nepi kichwa kikubwa akili kisodaAnaacha kujadili madudu ya wizara yake yaliyoibuliwa na CAG anajadili petty issues.
Ht unavyoonekana nahc so riziki, pafyumu na kupenda kitonga vimekumaliza shiiiitAnaacha kujadili madudu ya wizara yake yaliyoibuliwa na CAG anajadili petty issues.
MApenzi ya jinsia moja ni petty issue?Anaacha kujadili madudu ya wizara yake yaliyoibuliwa na CAG anajadili petty issues.
Mpaka sasa mmekamata wangapi!!!!! mbona wapo mitaani wanajishebedua hadi mitandaoni, wakati sheria dhidi ya ngono ya jinsia moja (anti sodomy laws) zipo tangu enzi ya mkoloni kuongea tu kuwa hamtaruhusu wkt hamuwachukulii hatua za kisheria ni utata.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Wakamiane watu wazima na sio watotoBosi wake anasemaje?
Ushoga ni petty issue ama kweli dunia imeishaAnaacha kujadili madudu ya wizara yake yaliyoibuliwa na CAG anajadili petty issues.
Aanze bungeni kuna nyumba nthobe kibaoWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Kuna wakati saa mbovu, husema Kweli.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Kuiba hela za maskini mnokofanya mlioko serikalini sio laana?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”