Kwa hiyo Magufuli alikuwa akishiriki mapenzi ya jinsia moja?
..aliwaachia huru Babu Seya na Papii ambao walilawiti watoto wadogo.
..pia aliwapa heshima ya kuwapokea Ikulu.
..kiongozi anayetenda hivyo unaweza kumuamini kwamba anapinga ulawiti wa watoto wetu?
..wewe binafsi unaweza kukaribisha walawiti nyumbani kwako ukanywa nao chai?