Nape Nnauye: Hakuna kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu mapenzi ya jinsia moja

Nape Nnauye: Hakuna kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu mapenzi ya jinsia moja

Sheria ipo toka enzi za mwingeleza 1939 ikipinga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ikarekebishwa mwaka 1959 kuongeza vipengele vikali zaidi, na sisi tukaishindilia ukali zaidi mwaka 1998.

Sasa kama sheria ipo, mbona hawa mashoga wamekuwa wakizururaa mitaani waziwazi kwa nini hatua za kisheria hazichukuliwi juu yao? Kama sheria ipo na ilitungwa na hawa hawa mzungu Je kwa nini sisi tunashindwa kuitumia kuwabana?

Makonda alijaribu kidogo ikagonga mwamba, tukasikia Waziri mmoja nasema hayo mambo ya kuwakamata ni yake binafsi ya si ya Serikali ya JMT, sasa sisi tueleweje nini hapo? - hapo kwenye ushoga kuna nini hapa ?
 
Ushoga ni petty issue ama kweli dunia imeisha
kaka achana naye, hadi hapo atapoona mwanae amekuwa bwabwa ndiyo atatia adabu. Hili ni tatizo kubwa sana linaikumba Dunia kwa sasa.
 
Mwana wa uasi ndo nini?

Gwajima unafeli sana.
No I'm not him.

Bt tuna identity moja.

Raia wa Mbinguni.

Yeyote aaminiye kuwa kukemea USHOGA na vitendo vichafu hadharani ni kuvipa promo, huyo ni mwana wa UASI.

Matendo maovu huenea sana Kwa Kasi sirini yasipokemewa hadharani.

Bt yanapokemewa hadharani, hurudi kujificha gizani iliko asili Yao.
 
Anaacha kujadili madudu ya wizara yake yaliyoibuliwa na CAG anajadili petty issues.
Ushoga na usagaji are not petty issues man! They are meant to destroy our society and the future of our beloved nation. Vilaaniwe na vipingwe kwa nguvu zote kutoka katika kila kona ya taifa letu na ulimwengu mzima.
Ushoga tz sio tatizo Mie nabaki nimebutwa wapinga ushoga wamekuwa wengi mara milioni ya idadi ya mashoga. Mie sipo dar, mara kadhaa nipo kahama, mbogwe, bushirombo na geita mjini lkn sijawahi kukutana na shoga na hata watu wangu wa karibu sehemu hizo nimejaribu kuwaomba wanioneshe shoga hata mmoja wanayemfahamu, cha ajabu wote hawamjui hata mmoja, sasa kama wilaya zote hizo nne hazina hata shoga mmoja kwanini ushoga uonekane kama ni tishio kama ebola vile?
Mbuyu ulianza kama mchicha. Wanaopiga kelele si wajinga wote. Kunajambo wameliona. Kama kwenu hawapo mshukuru Mungu na uombe sana balaa hilo lisiwakute.
 
kaka achana naye, hadi hapo atapoona mwanae amekuwa bwabwa ndiyo atatia adabu. Hili ni tatizo kubwa sana linaikumba Dunia kwa sasa.
Nchi hii Tumepewa WANADAMU na Mungu tuitawale.

UHURU wa kumfundisha na kumkosoa Mungu uumbaji ni DEMON CRASIE au UHURU wa kipepo.

Tunataka Serikali iwahukumu wasagaji,wafiraji na mashoga kama wanavyohukumiwa majambazi, wauaji nk nk.

Kwa kuanzia nashauri ADHABU ya viboko itangulie ADHABU za kijinai, wakicharazwa sawasawa wengine wataacha mara moja.

Tukifika hapo, MAPEPO yaliyowapagaa yatawatoka yarudi kiringeni kuungana na wachawi huko gizani, nasi watumishi huko huko gizani tutaendelea kuripua KAZI zao.
 
Nimemuasi mamaako au nani?

Sijakupangia cha kusema, unaposema kuna NGO inalea ushoga kisha nakuuliza uitaje hiyo NGO unajibu nikamuulize Mwakyembe ni kuropoka
Ewe mwana wa JOKA lenye mabawa,

Ukiamka kesho asubuhi na kututangazia kuwa tukutambue kama mwanamke ilihali umezaliwa Mwanaume, Kwa kudai ni HAKI za binafamu, kufa na ufe.

HIYARI ya kumkosoa Mungu ktk uumbaji wake ni zaidi ya dhambi ya uuaji.

Brazil, Zimbabwe, Turkey, pale Arusha,wamekufa Hadi vichanga visivyo na HATIA sababu ya watu aina Yako.
 
Wewe mwenzako akifirwa wewe unawashwa na nini?

Kufirana isifanywe jinai wezi na wapigaji wa fedha za kodi ndio wanatakiwa wawe magerezani sio Mashoga.
Tukiamua kupimana Leo ni wanagapi washaawahi shiriki vitendo nakwambia Serikali itaanguka siku hiyo hiyipo
 
Wewe mwenzako akifirwa wewe unawashwa na nini?

Kufirana isifanywe jinai wezi na wapigaji wa fedha za kodi ndio wanatakiwa wawe magerezani sio Mashoga.
Pathetic! Sad! Sarcastic!
 
Wakati juzi juzi tu Nape kahojiwa kw podcast fulani na mtu fulani hahahah....mlango ushafunguliwa dear zamani sana pitisheni kila sheria hadi kifo bado wapo
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”

 
Back
Top Bottom