King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Mtaani kwenu kuna mashoga wangapi mpaka uone kuwa ni big inshu?Ushoga ni petty issue ama kweli dunia imeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani kwenu kuna mashoga wangapi mpaka uone kuwa ni big inshu?Ushoga ni petty issue ama kweli dunia imeisha
Ushoga ni petty issue ama kweli dunia imeisha
MApenzi ya jinsia moja ni petty issue?
Ht unavyoonekana nahc so riziki, pafyumu na kupenda kitonga vimekumaliza shiiiit
Huu ushoga upo huko kwenu mijini Ila huku Bush labda uulete wewMtaani kwenu kuna mashoga wangapi mpaka uone kuwa ni big inshu?
Uganda walikuja na Sheria kari sana, hii ya maneno haina nguvuWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Kuna wakati saa mbovu, husema Kweli.
Hizo NG'O s zifutwe, kutamka USHOGA hauna nafasi wakati Kuna NG'O zimesajiliwa kueneza USHOGA na usagaji tena Kwa watoto mashuleni,
Hatua Kali zaidi zinahitajika.
Point yako nimeielewa mkuuYes, it is indeed petty. There are more pressing issues mambo yanagusa kila mtu badala ya kujadili maamuzi ya watu wachache wafanyayo faragha. Wizara yake ina madudu kibao ila anatafuta public sympathy kwa kuwachota akili na mambo ya hovyo.
Shoga lingine hili hapaKumfunga Shoga ni sawa na kumpiga teke chula, kama hutaki afirwe uraiani basi anaenda kufirwa Gerezani.
Ni bora Katiba mpya ijayo iwape uhuru na haki zao hawa wana Sodoma jazz.
Kuna mtu amesema Mama karuhusu wakubwa kwa wakubwa waendeleeWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Kuna ubaya gani Basha likitetea maslahi yake?
Kwa hiyo Magufuli alikuwa akishiriki mapenzi ya jinsia moja?Akumbuke hata kuitisha uchaguzi halafu ukajishindisha nayo ni kama mapenzo ya jinsia moja tu
NGO ipi ?Kuna wakati saa mbovu, husema Kweli.
Hizo NG'O s zifutwe, kutamka USHOGA hauna nafasi wakati Kuna NG'O zimesajiliwa kueneza USHOGA na usagaji tena Kwa watoto mashuleni,
Hatua Kali zaidi zinahitajika.
Yule Mzee nilikuwa na wasiwasi nae alikuwa anawateua mawaziri na kuwaapishia nyumbani kwake.Kwa hiyo Magufuli alikuwa akishiriki mapenzi ya jinsia moja?
Ushoga tz sio tatizo Mie nabaki nimebutwa wapinga ushoga wamekuwa wengi mara milioni ya idadi ya mashoga. Mie sipo dar, mara kadhaa nipo kahama, mbogwe, bushirombo na geita mjini lkn sijawahi kukutana na shoga na hata watu wangu wa karibu sehemu hizo nimejaribu kuwaomba wanioneshe shoga hata mmoja wanayemfahamu, cha ajabu wote hawamjui hata mmoja, sasa kama wilaya zote hizo nne hazina hata shoga mmoja kwanini ushoga uonekane kama ni tishio kama ebola vile?Huu ushoga upo huko kwenu mijini Ila huku Bush labda uulete wew
Wanaosema samaki mkunje angali mbichi,so tusipokemea kipind hichi ushoga bado ni mchanga ukija kukomaa hakuna atakaeweza kuuzuia na hapo ndipo hata wanetu watakapokumbwa na mtihani huoUshoga tz sio tatizo Mie nabaki nimebutwa wapinga ushoga wamekuwa wengi mara milioni ya idadi ya mashoga. Mie sipo dar, mara kadhaa nipo kahama, mbogwe, bushirombo na geita mjini lkn sijawahi kukutana na shoga na hata watu wangu wa karibu sehemu hizo nimejaribu kuwaomba wanioneshe shoga hata mmoja wanayemfahamu, cha ajabu wote hawamjui hata mmoja, sasa kama wilaya zote hizo nne hazina hata shoga mmoja kwanini ushoga uonekane kama ni tishio kama ebola vile?
Nape na CCM mmetuona sisi ni wadhifu mnajitahidi kututoa kwenye mada ya sasa inayohusu wizi wa fedha zetu, ushoga umekuwepo tangu wewe ukiwa haujazaliwa kwanini baada ya taarifa ya CAG viongozi wote wa CCM ushoga mmeufanya ajenda kuu, wizi wa fedha ndio ajenda kuu na msigwae kuchukua hatua ila sidhani kama nanyi hammo.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”