Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Alimcheka mamba kisa kavuka mto hakujua kuna simba anamsubili nchi kavu
Mmmmhhhh . . . . . . .siasa hizi bwana, tuwaachie wenye nazo tu maana sisi huku mtaani tunabishana weeeeeh afu jamaa wanapeana mikono magogoni na makamera kibao
 
wakati Mzee Mwinyi anasema waliofanya hivyo ni utoto wengi hawakumuelewa na wengine wakamkebehi ila kadri siku zinavyoenda ndivyo mambo yanavyokuwa wazi hawa kina nape, makamba ni watu walioingia kwenye uongozi kwa kupitia connection za baba zao ila kichwani wako empty walijiona wao ni think tank ya taifa, wao ndio wanastahili kuwa viongozi haya ndio matokeo yake lakini pia ccm inabidi ijifunze kuandaa vijana wao kuwa viongozi wa baadae badala ya kuamini degree ama kubebana na hayo ndio matokeo yake
 
Safi sana Nape, kuomba Msamaha sio udhaifu bali ni ukomavu wa Kisiasa. Naamini utarudishwa tena Kikosi cha I
 
Nape kwenda ku-kneel down CHADEMA wamemshauri nadhani😄😄😄😄😄
 
Nimeona Rais kaongea kwa hekima sana na hisia Kali,ameonyesha hisia zake nimependa maneno ya hekima aliyotumia,sijawahi kumuona mheshimiwa Rais akijawa na hekima kama maneno aliyoyatoa kuhusu suala Nape,huko mbele unaweza kubadilika.
 
jiwe anamuhitaji nape, nape anamuhitaji jiwe hapo 2020, lakini kaa vile umenena ccm haitegemei saduku la kura kusinda ni wizi wa ajabu sana, na ndio tz itabaki one of the poorest country in this world
 
Point ni kuwa mwisho wake haukuwa mzuri, who gives a damn nani alimtoa madarakani?
Hapo ni kuonyesha kuwa inafika time mbabe ubabe wake unamtokea puani.

The point is hatulewa na wapinzani,alitolewa na wapenda vita wenzake.

Kwani Sankara alikosea nini hadi akatolewa madarakani kwa style ile.
 

Unamlinganisha Kagame na Magu kwenye ubabe?hahahah aiseeee

Kagame hua hana mchezo wala hua hajui mambo ya kusamehe eti aseme tu roho imeniuma lkn nimesamehe.

Anachojua yeye ni Lugha ya bunduki tu huyo Nape,Makamba,Ngeleja wangekua wamepewa kati ya adhabu zifuatazo mpk sasa kupigwa chuma,ajali ya gari,kupigwa sumu au wakionewa huruma sana house arrest ingewahusu.

Yaani mtu kupewa kaadhabu kakutembea kutoka geti la ikulu mpk kuingia ndani na kisha Nape kupiga picha akiongea na rais kwa kujinyenyekeza kinafiki ndo mnaona bonge la adhabu?hahahah
 
Dr Magufuli siyo mwanasiasa ni " Mtumishi" wa umma.......wapendwa wananielewa hapa!

Mwaka 1986 wakati M7 anachukua madaraka alisema yeye ni mtumishi wa Umma mwaka 2017 alisema yafuatayo.

I am not an employee. I hear some people saying that I am their servant; I am not a servant of anybody. I am a freedom fighter; that is why I do what I do. I don’t do it because I am your servant; I am not your servant.
 
Itawachukua miaka mingi Sana watz kuwaelewa ccm. Kwa muda wote huu was miaka minne zimechezwa game nyingi Sana kupata attention, hii nayo ilikuwa moja ya zile sinema.now that we are approaching election, it's time to get together and rejoice the king of the jungle tz na kuziondoa zile myths zilizotengenezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…