Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Eti Membe atagombea 2020...atagombea kwenye nyumba yake? Hizi siasa sio za kitoto. Ndio maana nawashangaa wanaojifariji
Mzee baba siasa hailipi . Unakosekana sana kule mzee 🤣🤣🤣🤣🤣Mwakani uchaguzi, watu wanaogopa kukatwa kura za maoni..
Naam,
Mbunge wa Mtama kupitia CCM ndugu Nape Nnauye leo kakutana na Raisi Magufuli Ikulu kujadiliana masuala ya kitaifa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo pamoja na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye aliyefika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuomba msamaha mara baada ya kuzungumza na wanahabari. Hii ni baada ya mazungumzo yao pamoja na kusamehewa kosa aliliofanya miezi michache iliyopita.
Pia soma;
Imevuja sauti inayodaiwa ni Maongezi ya Simu ya Nape Nnauye na Abdulrahman Kinana kuhusu njama za kuichafua CCM
Ni kuhusu barua iliyotolewa na Makamba na Kinana kuhusu kuchafuliwa na Musiba. Ni Maelekezo ya Kinana Kumtaka Nape aisambaza barua kwenye vyombo vya habari. Kinana: Mwambie bwana hawa jamaa wanatoa statement leo, Unafikiri tumpe nakala? [Nape: Hapana] Mwambie wanaiandaa Mzee wataitoa leo...www.jamiiforums.com
Waliyemwita mshamba sasa anawabatiza kwa moto, bado makamba na kinana, tunataka wote wabatizwe kwa moto ili tukusifu wewe tu hakuna mwingine
Kwa mshamba..Kaenda kupiga magoti
Mgambilwa ni mntuMusiba akatafute kazi nyingine
Waraka wa Wazee ule ulikuwa na Barka za Wenye Chama na sasa umekuwa neema kwa watu kuombana samahani na kuyamaliza
Kidumu chama cha Mapinduzi
Hivi yule aliye mtishia na pyu! pyu! alipatikana?Analinda kula yake