Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mwigamba mbona alifukuzwa chadema? Au umesahau?Ukweli ni kwamba walikuwa hawafukiziki maana walitumia mbinu za kurekodi bila kufuata sheria ingekuwa wamefuata sheria au kama wangesema hadharani wangeshafukuzwa. Magu sio mvumilivu hivyo alikuwa hana namna.