Ndio! Tusi au kosa likowapi katika sauti zile?
Hujaelewa ulichoulizwa.. ☹️☹️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio! Tusi au kosa likowapi katika sauti zile?
Nape kaona ohooooo nitamwagwa kaenda hadi kwa mama maria nyerere amsemee kwa mzee
Membe mwenyewe ataomba Pooo soonPumbavu mwingine. Nape amruka kaka yake (Membe) kipumbavu kabisa. Hovyoo.
Yeye na Bashite hawawezi ajiriwa wala kujiajiri. Siasa ndo inayowaweka mjini.
Kumkejeri kiongoz wako na kumpiga majungu sijambo zur tena kiongoz wako mkuu wa chama na nchi , kama alikuwa akubaliani na stairi ya uongoz wa magufur ange kaa kimya magufur kipindi chake kitaishi tu.Hii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.
Tukio zima lililenga kumdhalilisha Nape.Unamlinganisha Kagame na Magu kwenye ubabe?hahahah aiseeee
Kagame hua hana mchezo wala hua hajui mambo ya kusamehe eti aseme tu roho imeniuma lkn nimesamehe.
Anachojua yeye ni Lugha ya bunduki tu huyo Nape,Makamba,Ngeleja wangekua wamepewa kati ya adhabu zifuatazo mpk sasa kupigwa chuma,ajali ya gari,kupigwa sumu au wakionewa huruma sana house arrest ingewahusu.
Yaani mtu kupewa kaadhabu kakutembea kutoka geti la ikulu mpk kuingia ndani na kisha Nape kupiga picha akiongea na rais kwa kujinyenyekeza kinafiki ndo mnaona bonge la adhabu?hahahah
Eti Nape ndio yule alienda huko jimboni kwake wakina mama wakalitandikia Kanga barabarani na wakalala chini eti lipite mgongoni kwao eti lijamaa likawa linajiliza machozi eti huu ni upendo sijawahi kuuona hahah.
Usinibanie puaunajitangaza unayo ili tukutokee?
Mimi sio basha... i hope wenye fani zai wataku contact
Usinibanie pua
Hahah nimeanza kukubali kauli yako,hivi Nape alishawahi kuajiriwa sehemu nyingine yoyote ile ukiachana na UVCCM/CCM.
Usikute huyo kaka yake mwenyewe nae ameshawekwa kati kitambo tu anasubiri siku ya kutangazwa aende ikulu akapige picha akiomba msamaha kwa unyenyekevu huku akimuita Magu Baba,hahah.
BCM akipiga goti naacha kuingia Jf
ujasusi
Maisha yao nje ya CCM ni hayawezekani.Hakuna mwanaccm mwenye ujasiri na uwezo wa kusimamia anachokiamini.
Membe mnamkuza sana kuliko uhalisia. Kwanini asiombe radhi? Tena Membe atatakiwa kutembea kwa miguu kutoka Mbweni hadi Magogoni.
Muda ndio suluhisho la kila kitu mkuuNdo siasa hizi
unafiki mwanzo mwisho
Baada ya uchaguzi mwakani tutajua rangi halisi za wanasiasa