Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwa hiyo ni kweli Magufuli alikuwa akiua wapinzani kwa maslahi ya taifa?Hi hivi hakuna utawala duniani popote ambai haujawahi kuua, kuteka.
Lissu na Fatma Karume kuwapigia debe wazungu ni uhaini. Wazungu hawafanyi hivyo kwenye rasilimali zao. Wanaungana kama sasa kumthibiti Mrusi, Mchina. Afrika tayari ibilishabitiwa.
Kibiti, Mkuranga, Dar kungekuwa na Ugaidi wa kutisha. Maamuzi magumu kwa taifa yanahitajika ukiwa kiongozi wa ukweli kufanya inabidi kufanya maamuzi.
Hii ndio hali halisi ndani ya CCM kwa sasa! Wapo vipandevipande vinavyohasimiana! Mwendazake alikimaliza chama kabisa bila kujua. Tutaona na kusikia mengi bado!Nape anamuona Polepole mtoto mgeni aliyekaribishwa nyumbani akapewa mamlaka,akaanza kuwadhibiti watoto wa mwenye nyumba huku Polepole akimuona Nape mtoto mhuni alipokuwa anaongoza watoto wenzake alitumia madaraka yake vibaya,kupora mali za familia,alipodhibitiwa akaweka kinyongo https://t.co/NPBJYXQ1R9View attachment 2040848View attachment 2040849
Wote hao (Nnauye & Polepole) ni watu waliyofika huko waliko kwakutegemea godfathers. nnauye akimtegemea baba yake na Mzee Yusufu Makamba na polepole akimtegemea Magufuli. Kuna vijana wengi wenye mvuto na waliyokuwa wakijulikana kisiasa vyuoni kwetu, lakini kwa kukosa godfathers mpaka leo hawajulikani. January Makamba naye ni mtindo huo huo wa godfazas. tena Nnauye na Makamba wanafanana maana wote haramu. Makamba angekuwa siyo mtoto wa Mkubwa siku hizi angekuwa chinga, maana aliibia mtihani na kutiwa matokeo. Angekuwa mtoto wa mkulima kufutiwa mtihani ndiyo ungekuwa mwi\sho wa safari yake!Chamani Kuna viroboto kumbe, basi tunyunyize dawa kuwaangamiza viroboto bila kusahau kudumisha usafi wa nyumba na malazi yetu🤔.
Magufuli aliifufua CCM iliyouliwa na awamu ya nne.Hii ndio hali halisi ndani ya CCM kwa sasa! Wapo vipandevipande vinavyohasimiana! Mwendazake alikimaliza chama kabisa bila kujua. Tutaona na kusikia mengi bado!
Wanajulikana ni mafisadi wale.Nape Kama aliuza chanel ten na Mali nyingi za Chama wakiwa na Kinana wake
Huyu unayemwita mwendazake ndo aliirejesha ccm kwa wanachi wakaanza kuipenda .ili ccm ya kuvaa nguo yake ukaanza kuzomewa ilipotea .Hii ndio hali halisi ndani ya CCM kwa sasa! Wapo vipandevipande vinavyohasimiana! Mwendazake alikimaliza chama kabisa bila kujua. Tutaona na kusikia mengi bado!
Sijui, ili taifa lazima taifa liwe huru.Kwa hiyo ni kweli Magufuli alikuwa akiua wapinzani kwa maslahi ya taifa?
Hawakumbuki hilo! Waache dawa inakuja watakoma!Huyu unayemwita mwendazake ndo aliirejesha ccm kwa wanachi wakaanza kuipenda .ili ccm ya kuvaa nguo yake ukaanza kuzomewa ilipotea .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwa hiyo hao wa Mkuranga ni wapinzani wake wa kisiasa?Sijui, ili taifa lazima taifa liwe huru.
Lazima utaua watu wachache ili Taifa liendelee lazima ufanye hivyo.
Watu wanatetea Magaidi pale Mkurunga , kibiti, kusini wewe ujijiita John Sack, ungefanyaje ungekuwa kiongozi? Mkono wa chuma ni muhimu.
Hahaha kwa hiyo hao wa Mkuranga ni wapinzani wake wa kisiasa?
Tunazungumzia wapinzani wengi waliouawa kipindi cha Magufuli, hao aliwaua kwa maslahi ya Taifa yepi hayo?
Ahaa, kumbe aliwaua akaleta maisha mazuri?Wapi hao,tupe majina. Siyo tuhuma tu.
Wewe ungekuwa kiongozi , unafikiri hauwezi kuwapunguza wahuni wanaokwamwisha juhudi zako kuwaletea maisha mazuri ndugu zako.
Nape busara zimeenda kudhurura?Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Nillimuona kwenye wimbo wa DiamondKabla ya yote naomba nielekezwe Godfather ndio nani kwanza😅 maana kiroboto najua ni Juma Kassim Nature!
Mbona tunawauwa wengi sana zaidi kwa kila siku kwa tozo, kodi kusitisha biashara, zote Maji, umeme.Ahaa, kumbe aliwaua akaleta maisha mazuri?
Na mimi nasema Mama Samia ndio anaweza haswa kuiongoza hii nchiSamia hataweza kuiingoza hii nchi