Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Hili jibu tu linaonyesha huyu Nape alivyo mpumbavu kweli kweli; yaani kichwani mwake hamna kitu kabisa.
Kama lile jibu la.. Nenda na mavi yako nyumban 🤣🤣au nasema uongo ndugu yang!!
 
Nape anajiweka mbele mbele Mama amuone apewe shavu lakini wapi?watu kama hawa ni wa kuogopa kama ukoma,wapo kwa ajili ya matumbo yao,Magufuli aliwaweka pembeni wakaanza kumponda.
Haaminiki huyu nae
Mzee hakuna utawala ulikua unatoa nafas ya uongoz kwa kusifu na kuabudu tu kama awam ya 5 yaan ukisifia sana, piga, tesa CDM, unakula shavu!! This is Africa.
 
Nimesikitika, angenyamaza ingekuwa bora zaidi. Mheshimiwa nape anaonekana ni mtu wa bifu sana asiyependa kunyamaza. Matokeo ya anachokifanya hapa ni kuibuka kwa mivutano zaidi......labda ndicho anachokitaka. Ccm ni ya wote, nani kasema ina wenyewe?!! Disgusting!

Simpendi polepole sababu ni mnafiki namba moja, mdini na mbaguzi wa kikanda aliyefadhaika, aliyeshindwa kabla hajaanza, asiye na haya na aliyerUkwa na akili lakini bado naamini anapaswa kukaliwa kimya na wenye akili....hapaswi kujibiwa lolote aachwe tu na ngonjera zake. Kumjibu polepole ni kutumia vibaya akili yako na muda wako.....ni dhaifu mno kwa sasa!!
Team ya JK wanajinadi wanajua siasa lakini kiuhalisia ni failures. Chunguza jinsi CCM ilivyokuwa inapungukiwa kura kwenye chaguzi za 2005 hadi 2015.
 
Mnaona raha kuukana wenzenu non sense, Huyu kweli ni muhuni huwezi tukana watu godfather, kama ulilelewa na wazazi.
Ni kama wale waliokua wanasema.. mpaka tuwape mimba wake zenu ndio mjue tunafanya kaz?, Au wale rudi na mavi yako nyumban, au wakome kama walivyokoma ziwa la mama zao!! Unaonaje hapo mkuu🙌🙌
 
Polepole ni mpuuzi wa kiwango cha juu, enzi za Magufuli alikuwa anasema baada ya uchaguzi siasa zinahamia bungeni, sasa hivi yeye anatoka bungeni anasema huko bungeni muda ni mdogo hivyo anaongelea nje! Huyo huyo alikuwa anaona sifa kusema eti baada ya uchaguzi tunaachana na siasa za madaraka, tunafanya siasa za maendeleo. Sasa yeye leo anaitisha press conference kuongelea matatizo yake binafsi ya kunyamazishwa na TCRA.
wali ya Polepole ni ya msingi. Wasimshambulie kwa mipasho.
 
Anasema anachokiamini wakati alikuwa anasema kipindi cha Magufuli kuwa baada ya uchaguzi siasa zinahamia bungeni. Kipi kinamtoa kuongea bungeni na kuanza kuitisha press kuongelea matatizo yake binafsi? Aachane na siasa za madaraka aongelee siasa za maendeleo kama alivyokuwa anasema kipindi cha Magufuli. Au jana alikuwa anaongea maendeleo?
a ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa.

Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo bungeni, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
 
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;


"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Siyo lugha za kiungwana Kwa viongozi wetu

Huyu mtu alishawahi kuwa Waziri… kuna namna ya kufikisha ujumbe hiohuo Kwa staha

Ccm rekebisheni hizi
 
Polepole ni mpuuzi wa kiwango cha juu, enzi za Magufuli alikuwa anasema baada ya uchaguzi siasa zinahamia bungeni, sasa hivi yeye anatoka bungeni anasema huko bungeni muda ni mdogo hivyo anaongelea nje! Huyo huyo alikuwa anaona sifa kusema eti baada ya uchaguzi tunaachana na siasa za madaraka, tunafanya siasa za maendeleo. Sasa yeye leo anaitisha press conference kuongelea matatizo yake binafsi ya kunyamazishwa na TCRA.
Ndio siasa. Waliokuwa wakinyamazishwa walitakiwa kujipambania. Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;


"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Harafu Nape aje aseme 2025 akimpigia mama yake kampaign kuwa watu wa Kanda ya ziwa mpeni Mama kura maana anayaendeleza Yale yalioachwa na hayati Magufuli nyooo Thubutu, Naona mnajiona CCM Sasa mmeitawala mkiongozwa na kikwete,Kinana,makamba Jr na Makamba Mzee,Lakin mjue ya kwamba kundi lenu halina ushawishi kwa wananchi ila kwa mafisadi tyuu
 
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;


"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Waache wagombane wenyewe kwa wenyewe sisi wakulima wadogo na wasikilazaji wa Radio Tanzania.
 
Harafu Nape aje aseme 2025 akimpigia mama yake kampaign kuwa watu wa Kanda ya ziwa mpeni Mama kura maana anayaendeleza Yale yalioachwa na hayati Magufuli nyooo Thubutu, Naona mnajiona CCM Sasa mmeitawala mkiongozwa na kikwete,Kinana,makamba Jr na Makamba Mzee,Lakin mjue ya kwamba kundi lenu halina ushawishi kwa wananchi ila kwa mafisadi tyuu
Ni bora kuliko kua na kundi la utekaji, utesaji uuaji na uvamizi kweny mali za watu na pesa bank!!
 
Nakumbuka miaka hyo Nape na Kinana wanatumia miezi 26 kukisafisha Chama kwa wananchi lakin bdo ilikuwa Hali mbaya , pind tupo chuoni , wanaccm walikuwa wanaficha nguo za kijani kwa mabegi wakikaribia Ukumbin wanaenda chooni kuvaa Kijani au njano watu walikuwa wanazomewa Sana akivaa kijan au njano , baada ya Magu watu walikuwa wanatembea na kijan pamoja na njano bila uoga, warahi kundi la Nape, Kinana mpandisha twiga, Kikwete, makamba wote , hawana mvuto kwa wananchi watu wanasahau historia ya kuanzia mwaka 2015 kurudi nyumba CCM ilipoteza Sana mvuto hata kumweka Magufuli lengo kuleta heshma kwa Chama, Jamani Mama anasema et nchi aiongoze kiupole Kweli sawa yaani amesahau kikwete ilivyompa taabu kuingoza ,Et Chongoro , Shaka , mndeme hawa kweli wanaweza kukisimamia Chama vzr, haya,,,,Nanyi CHADEMA acheni uzuzu tumie muda huu Kujiimarisha ,mmelala mno sawa tunajua mnapambana kupata Katiba Mpya lakin jitahidn kuwasemea wananchi mfano machinga mko kimya, tozo mpo kimya, pazeni sauti et watu wa Sayuni
Huyu unayemwita mwendazake ndo aliirejesha ccm kwa wanachi wakaanza kuipenda .ili ccm ya kuvaa nguo yake ukaanza kuzomewa ilipotea .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpaka hapo ,polepole kashinda, ukiona nape katoka shimoni ujue ,polepole kampumulia Moshi kamawote ...jamaa uvumilivu umemshinda katoka mwenyewe shimoni[emoji23][emoji23]...hapo Sasa polepole aamue mwenyewe tu Sasa nn amfanye panya wake ,1.amkabe koromeo [emoji23] panya wake kwa mkono,au 2.amlenge na manati, 3.amlenge na mshare 3. Amsakizie kwa paka wamalize mchezo.[emoji23][emoji23][emoji23].

polepole nimekukubali wewe fundi[emoji23].

tunategemea kuona panya wengine wengi kutoka huko mashimoni walikojichimbia[emoji23]. hakuna panya shujaa mbele ya kupumuliwa Moshi [emoji23],watatoka mmoja badala ya mwingine.....mm nipohapa kwenye kichaka nitakuwa nawahesabu panya wangapi wametoka.ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom