Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
- Thread starter
-
- #361
Kama lile jibu la.. Nenda na mavi yako nyumban 🤣🤣au nasema uongo ndugu yang!!Hili jibu tu linaonyesha huyu Nape alivyo mpumbavu kweli kweli; yaani kichwani mwake hamna kitu kabisa.
Cc,tameer au nawewe ni mmoja wao?Chuki ipo kama kipind kile cha teka, tesa, ua, funga, weka ndan??
Mzee hakuna utawala ulikua unatoa nafas ya uongoz kwa kusifu na kuabudu tu kama awam ya 5 yaan ukisifia sana, piga, tesa CDM, unakula shavu!! This is Africa.Nape anajiweka mbele mbele Mama amuone apewe shavu lakini wapi?watu kama hawa ni wa kuogopa kama ukoma,wapo kwa ajili ya matumbo yao,Magufuli aliwaweka pembeni wakaanza kumponda.
Haaminiki huyu nae
Team ya JK wanajinadi wanajua siasa lakini kiuhalisia ni failures. Chunguza jinsi CCM ilivyokuwa inapungukiwa kura kwenye chaguzi za 2005 hadi 2015.Nimesikitika, angenyamaza ingekuwa bora zaidi. Mheshimiwa nape anaonekana ni mtu wa bifu sana asiyependa kunyamaza. Matokeo ya anachokifanya hapa ni kuibuka kwa mivutano zaidi......labda ndicho anachokitaka. Ccm ni ya wote, nani kasema ina wenyewe?!! Disgusting!
Simpendi polepole sababu ni mnafiki namba moja, mdini na mbaguzi wa kikanda aliyefadhaika, aliyeshindwa kabla hajaanza, asiye na haya na aliyerUkwa na akili lakini bado naamini anapaswa kukaliwa kimya na wenye akili....hapaswi kujibiwa lolote aachwe tu na ngonjera zake. Kumjibu polepole ni kutumia vibaya akili yako na muda wako.....ni dhaifu mno kwa sasa!!
Ni kama wale waliokua wanasema.. mpaka tuwape mimba wake zenu ndio mjue tunafanya kaz?, Au wale rudi na mavi yako nyumban, au wakome kama walivyokoma ziwa la mama zao!! Unaonaje hapo mkuu🙌🙌Mnaona raha kuukana wenzenu non sense, Huyu kweli ni muhuni huwezi tukana watu godfather, kama ulilelewa na wazazi.
Kama wale wa nenda na mavi yako nyumban 🤣🤣Nape busara zimeenda kudhurura?
Afu ni ujinga,kila siku ni haohao...Yaani watu kama hawa wanajiona wanamiliki hii nchi.
wali ya Polepole ni ya msingi. Wasimshambulie kwa mipasho.
a ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa.
Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo bungeni, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
Siyo lugha za kiungwana Kwa viongozi wetuBaada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Hahahahahah
Sanaaaa....Hichi kitu huwa kinatia sana hasira.....
Ndio siasa. Waliokuwa wakinyamazishwa walitakiwa kujipambania. Kila mtu ashinde mechi zake.Polepole ni mpuuzi wa kiwango cha juu, enzi za Magufuli alikuwa anasema baada ya uchaguzi siasa zinahamia bungeni, sasa hivi yeye anatoka bungeni anasema huko bungeni muda ni mdogo hivyo anaongelea nje! Huyo huyo alikuwa anaona sifa kusema eti baada ya uchaguzi tunaachana na siasa za madaraka, tunafanya siasa za maendeleo. Sasa yeye leo anaitisha press conference kuongelea matatizo yake binafsi ya kunyamazishwa na TCRA.
Harafu Nape aje aseme 2025 akimpigia mama yake kampaign kuwa watu wa Kanda ya ziwa mpeni Mama kura maana anayaendeleza Yale yalioachwa na hayati Magufuli nyooo Thubutu, Naona mnajiona CCM Sasa mmeitawala mkiongozwa na kikwete,Kinana,makamba Jr na Makamba Mzee,Lakin mjue ya kwamba kundi lenu halina ushawishi kwa wananchi ila kwa mafisadi tyuuBaada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Waache wagombane wenyewe kwa wenyewe sisi wakulima wadogo na wasikilazaji wa Radio Tanzania.Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Ni bora kuliko kua na kundi la utekaji, utesaji uuaji na uvamizi kweny mali za watu na pesa bank!!Harafu Nape aje aseme 2025 akimpigia mama yake kampaign kuwa watu wa Kanda ya ziwa mpeni Mama kura maana anayaendeleza Yale yalioachwa na hayati Magufuli nyooo Thubutu, Naona mnajiona CCM Sasa mmeitawala mkiongozwa na kikwete,Kinana,makamba Jr na Makamba Mzee,Lakin mjue ya kwamba kundi lenu halina ushawishi kwa wananchi ila kwa mafisadi tyuu
Huyu unayemwita mwendazake ndo aliirejesha ccm kwa wanachi wakaanza kuipenda .ili ccm ya kuvaa nguo yake ukaanza kuzomewa ilipotea .
Sent using Jamii Forums mobile app