Ujumbe mzito sanaIla CCM hawajua kinachoendelea mtaani sio? Wafanye tafiti kuna chuki sana inajengeka, watakuja washangae akitokea mwanasiasa ana nguvu...watashangaa sana watu kama kina Nnape. Just someone to ignite
Naakupa tu dondoo. 2010-2015, wapo wengi waliuwawa, Mawazo wa Geita, waandishi kumwagiwa tindikali na kutobolewa macho, Muulize Kibanda, Mwandishi wa habari kuuwawa Iringa, Dr. Mvungi alilalamika anafuatiliwa baadae kuvamiwa na kukatwa mapanga hatimae kifo. Muulize Dk. Ulimboka kutekwa kung'olewa kucha kisa kudai haki za madakitari. Dr. Silaa na mashumbusi kupigwa kule arusha .Ni bora kuliko kua na kundi la utekaji, utesaji uuaji na uvamizi kweny mali za watu na pesa bank!!
Katiba ni kichaka tu cha wao kurudi kwenye ulingo wa siasa .tuangalia nchi zilizounda katiba moya hivi karibu ndo kusema kwa sasa matatizo yao kama ufisadi,huduma za jamii ndo zimeimarika ?Eti hayo yatamalizwa na katiba mpya! Yaani nikiwacheki hawa jamaa....najisemea ninyi mnahitaji somo la "Problem analysis", hivyo muanze madarasa ya Shule ya uongozi ya Polepole.
Ule Pia haukua na ustaarabuKama ule ujumbe wa nenda na mavi yako nyumban 🤣 au nasema uongo ndugu yang!!
Endelea kujidanganya...Ila CCM hawajua kinachoendelea mtaani sio? Wafanye tafiti kuna chuki sana inajengeka, watakuja washangae akitokea mwanasiasa ana nguvu...watashangaa sana watu kama kina Nnape. Just someone to ignite
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe ni mjinga sana ujueKabla ya yote naomba nielekezwe Godfather ndio nani kwanza[emoji28] maana kiroboto najua ni Juma Kassim Nature!
Huyo Polepole mbona hakuongea anayoyaamini kuhusu katiba mpya kipindi cha magu? Na alipopewa ulaji akanyamaza kimyaaa....yeye sio mchumia tumbo? Polepole pale CCM yeye ni wakuja tu. Alikuta chama kina wenyewe...watu wameanza toka umoha wa vijana wa chama. Yeye kaja kaanza kujisifia vieitee...Mchumia tumbo tuHapa ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa.
Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo bungeni, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
Mnofu
Ssssssssssssss&sHapa ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa.
Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo bungeni, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
SHapa ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa.
Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo bungeni, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
Wacha punda arushe mateke, nimependa huu msamiati dadadeki hahaha Sasa apa patamuBaada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Hahaaaa!!!!!sasa mkuu tutafanyaje na wenzetu wamejipanga vilivyo????
Ni kuweka kipengele tu kwenye katiba! We kama baba yako mjomba au shangazi alishawahi kushika ukurugenzi, uraisi au uwaziri kwenu imetosha hamna mtu atakaeruhusiwa kugusa hilo eneo tena!
Aidha ugombee ubunge au upewe ubalozi tu[emoji28]!
Vinginevyo mawaziri wakurugenzi nao wapigiwe kura na wananchi!
Kumbe kwaujumla CCM haitufai bas!Naakupa tu dondoo. 2010-2015, wapo wengi waliuwawa, Mawazo wa Geita, waandishi kumwagiwa tindikali na kutobolewa macho, Muulize Kibanda, Mwandishi wa habari kuuwawa Iringa, Dr. Mvungi alilalamika anafuatiliwa baadae kuvamiwa na kukatwa mapanga hatimae kifo. Muulize Dk. Ulimboka kutekwa kung'olewa kucha kisa kudai haki za madakitari. Dr. Silaa na mashumbusi kupigwa kule arusha .
Nyani haoni kundule!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote hao wachumia tumbo tu #tunataka katiba mpya#Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
ExactlyWote hao wachumia tumbo tu #tunataka katiba mpya#