Tetesi: Nape Nnauye kufukuzwa uanachama wa CCM

Tetesi: Nape Nnauye kufukuzwa uanachama wa CCM

Status
Not open for further replies.
Ukiisha kaa mbele ya kichwa cha treni ww ndio mkulu.....achana na hadithi za mtaani zilipendwa....ooh huyu alipigania chama ....that is a dam sheet.....kwani nani asiyejua Pena.....alikuwa teem Membe
Kuwa timu flani sio sababu ya msingi kumwadhibu visivyo.
Pamoja na hayo Nape amejijengea heshima kwa wenye akili ya kung'amua mambo.
 
Nape hafukuzwi atapewa kazi za chama hata ukuu wa mkoa wa Dar,usifikiri ni mjinga kwa kila kitu,ameishajifunza kukimbia vijiwe vya mitandao,hakujua wale aliokuwa akiwatetea ni akina pangu pakavu tia mchuzi.
I wish you know what you are talking.
 
Wana Jf,

Nape Nauye anaandaliwa mtego ili afukuzwe na uanachama kwa kiherehere chake kama wanavyodai, lazima afahamu kwanini Sophia Simba alifukuzwa ni kwa maneno yake ya kupinga...

Sasa Mwenyekiti wa chama kasema ana sauti kubwa na akisema anasema yeye ndio Mwenyekiti. Namuomba kaka yangu Nape awe makini sana, asiongee lolote kuanzia muda ambao alipokea baruwa ya kuachishwa uwaziri. Namsihi awe makini achunge sana mdomo wake, awe na akiba ya maneno.
Mbona kama wewe ndio unaogopa zaidi kuliko nape
 
Nape zungumza....ndo kazi ya SIASA..husiogope na wala hata kufukiza labda utoke wewe kwa mapenzi yako...wewe unaijua ccm kuliko yeye
 
Wana Jf,

Nape Nauye anaandaliwa mtego ili afukuzwe na uanachama kwa kiherehere chake kama wanavyodai, lazima afahamu kwanini Sophia Simba alifukuzwa ni kwa maneno yake ya kupinga...

Sasa Mwenyekiti wa chama kasema ana sauti kubwa na akisema anasema yeye ndio Mwenyekiti. Namuomba kaka yangu Nape awe makini sana, asiongee lolote kuanzia muda ambao alipokea baruwa ya kuachishwa uwaziri. Namsihi awe makini achunge sana mdomo wake, awe na akiba ya maneno.
kwani CCM umeambiwa n mbinguni....kuna nini..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom