Tetesi: Nape Nnauye kufukuzwa uanachama wa CCM

Tetesi: Nape Nnauye kufukuzwa uanachama wa CCM

Status
Not open for further replies.
Wakimfukuza kwetu ni shwangwe maana ndo atatudhiirishia ukweli zaidi uliopo nyuma ya pazia
 
kaka huyo bwana ataishia kukiua chama tu akifanya hayo. hajui nape hayupo peke yake. na hao ndo walimuweka madarakani. kila siku wanapopost twitter kwamba tuwe na subira mambo yatakua mazuri mbeleni huwa wana maana yao. nape kapost hivo, bashe kapost hivo na riziwani kapost hivohivo. makamba ndio alichoka tangu siku ya kwanza. hiyo timu akiitikisa itammaliza mwenyewe kupitia bunge
 
Natamani afukuzwe UCCM ili movie inoge zaidi. Nampa hongera kwa alichokifanya.
Nape ana mtandao mkubwa CCM na ingawa Makonda amemfanyia fitna lakini wana CCM wengine watamsaidia kumpa fundisho Daudi bashite Mpaka aje kujutia Ujinga wake.
 
Si kweli hii haijasukwa na Chadema kwani Makonda na Nape walianza kutofautiana kipindi Wema sepetu kawekwa ndani huo mgogoro ni wa CCM wenyewe usiuhusishe na Chadema kabsa isipokuwa sasa Nape atapewa pole na Chadema kwa ushujaa wa kusema Ukweli ingawa umemgharimu
Hii ishu inaanzia wapi?? Mzizi wake ni nini??
Ukipata jibu utakiwa umenielewa.
Makamba na nchemba walipitishwa ktk hilo tanuri ila walikaa kimya!
 
Nape ana mtandao mkubwa CCM na ingawa Makonda amemfanyia fitna lakini wana CCM wengine watamsaidia kumpa fundisho Daudi bashite Mpaka aje kujutia Ujinga wake.
Hili picha utasikia starling amefia kwenye maua/chini ya mnazi.
JPM alishasema kuwa yeye sio mwanasiasa. Hii ni hatari kwa kiongozi wa kisiasa kutokuwa mwanasiasa. Yeye anadhani yale ni madawa unayochanganya maabara kumbe anawaongoza wanasiasa.
Watamhenyesha sana tu Magu na Bashitee wake.
Nimeshaanda kisado cha popcorn hapa na juice ya miwa + ukwaju. Jicho kodo kwenye movie.
 
Mmoja tayari out bado hao 2 wanaojidai vijana walitaka ukuu, hata wakae kimya watatolewa tu, bora alieondolewa kishujaa .
 
Mzee wake kamlelea chamani yeye kakuzwa na kulelewa na chama nayeye akakua akakitumikia na kukieneza pia kifupi nape na ccm wameleana. Anaijua ccm zaidi naweza sema sasa sio wakumchukulia poa poa kama kitumbua cha mama saidi.mambo ya Susi na Chuma haya.
Umenena, ngoja nisome alivyoandika Nape mtandaoni
 
ushauri wako ungekua mzuri kama Nape angekosea..Nape yupo sahii, Daud kavamia clouds, hakutoa tamko kama mkulu wake alivyo.Ameunda tume na tume imefanya kazi na kutoa majibu...eti mheshimiwa sana akamtoa!Hizi phd za kutolewa na ud ni changamoto
 
Nape hafukuzwi atapewa kazi za chama hata ukuu wa mkoa wa Dar,usifikiri ni mjinga kwa kila kitu,ameishajifunza kukimbia vijiwe vya mitandao,hakujua wale aliokuwa akiwatetea ni akina pangu pakavu tia mchuzi.
 
Nape ana mtandao mkubwa CCM na ingawa Makonda amemfanyia fitna lakini wana CCM wengine watamsaidia kumpa fundisho Daudi bashite Mpaka aje kujutia Ujinga wake.
Huo mtandao mkubwa mbona haukuwahi kumsaidia alipohamia CCJ - Kama Nape alisurrender kwa Kikwete atamwezea wapi MAGUFULI ?
 
ushauri wako ungekua mzuri kama Nape angekosea..Nape yupo sahii, Daud kavamia clouds, hakutoa tamko kama mkulu wake alivyo.Ameunda tume na tume imefanya kazi na kutoa majibu...eti mheshimiwa sana akamtoa!Hizi phd za kutolewa na ud ni changamoto
Mkulu hana vyeti PHD yake ni ya kununua vyeti sasa kaamua kumkumbatia Kihiyo mwenzake wanawapiga majungu wale wote wanaothubutu kuwakosoa, wasukuma wawili sasa wanaiharibu Nchi ingekuwa kwetu Uganda huyo bashite tungemwonyesha cha mtema kuni.
 
Huo mtandao mkubwa mbona haukuwahi kumsaidia alipohamia CCJ - Kama Nape alisurrender kwa Kikwete atamwezea wapi MAGUFULI ?
Kikwete hakuwa mtu wa kukomoa watu kwa kuwabambikia kesi hakuwa na maadui wengi, lakini Magufuli ni mkomoaji ana wivu amejitengenezea maadui wengi kwa mda mfupi ambao wengi wataungana na Nape ili nao wampe somo Bashite.
 
Nape hafukuzwi atapewa kazi za chama hata ukuu wa mkoa wa Dar,usifikiri ni mjinga kwa kila kitu,ameishajifunza kukimbia vijiwe vya mitandao,hakujua wale aliokuwa akiwatetea ni akina pangu pakavu tia mchuzi.
Watu wanataka vyeti vyeti Vyeti hata wafanye nini vyeti kwanza
 
Sio bashite dogo.hicho ni kivuli cha mkulu,acha wajichangaye[emoji23][emoji23][emoji23]
 
NAPE...MWIGULU na MAKAMBA.....roho ya CCM kwa sasa.
Wote wanaweza kufukuzwa lakini kamwe hawezi kuthubutu kumfukuza January makamba kwani ndiye anajua siri zote za Uchakachuaji mwanzo mwisho.
 
magu nakuomba umfukuze uwanachana kwani bao la mkono ulijipiga mwenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom