Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata akifukuzwa kwa sasa ni asset sioni tatizo.Wewe mnafiki umetumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akifukuzwa kwa sasa ni asset sioni tatizo.Wewe mnafiki umetumwa
hili mkuu ndilo la msingi sana kwa napeWana Jf,
Nape Nauye anaandaliwa mtego ili afukuzwe na uanachama kwa kiherehere chake kama wanavyodai, lazima afahamu kwanini Sophia Simba alifukuzwa ni kwa maneno yake ya kupinga...
Sasa mwenyekiti wa chama kasema ana sauti kubwa na akisema anasema yeye ndio mwenyekiti, sasa namuomba kaka yangu Nape awe makini sana, asiongee lolote kuanzia muda ambao alipokea baruwa ya kuachishwa uwaziri. Haya nimeoteshwa muda huu nikiwa nasinzia baada ya breakfast, namsihi awe makini achunge sana mdomo wake, awe na akiba ya maneno.
mtafute Membe rafiki yako mkae kikao mwiteni na Manji rafiki yenu pia mtoto wa Rais mstaafu mjadiliane Vizuri kwa utulivu kisha mtengeneze msg ya kumpelekea Msukuma aliyelewa madaraka mpaka kajisahau anajua kuwa atakaa ilkulu kama mseveni.Napa hongela mueshimiwa Nape kwakujalibu..lkn ukweli umezihilika kua chama chake ccm kimemsaliti.. Nahii ndio tabia ya ccm hawajamaa huwa wanatabia yakumutumia mtu nawakisha fanikisha wanamtupa pembembeni..mueshimiwa Nape wamekutumia nasasa wamekutupa pembembeni bila hata kuangalia kazikubwa uliyoifanya kuuweka utawala huu madalakani nakumbuka iliupigania huu utawala hadi ukasema hata kwa goli lamkono ccm itashinda nakweli mlishinda kwagoli lamkono. Yotehayo yalikuwa mawazoyako lkn leo umeonekana huna lolote lamaana..hiyo ndio siasa ya ccm
Hakuna wa kushindana na magufuli kwa sasa,,,lile jeshi la mtu mmoja,,,leo Kabudi kapewa katiba na sheria kuna sababu pale,,jaribun kuelewa waliopo ndani wanajua kulko sisi...jina na imani aliyojijengea nape kwa jamii inayojitambua hata akisimama na magufuli ktk uchaguzi basi magufuli anaondoka bila wasiwasi. hakuna atakayesimamia ukweli akashindwa ila atawekewa vizingiti. ktk hili nape amewashinda bashite na baba yake vibaya mno. NI BORA UWE MASKINI KULIKO KUWA MTUMWA WA BINADAMU. kazi zliyoifanya nape Kwa CCM hakuna yoyote ktk baraza la mawaziri ukijumlisha na rais wao ameifanya.
Si kweli hii haijasukwa na Chadema kwani Makonda na Nape walianza kutofautiana kipindi Wema sepetu kawekwa ndani huo mgogoro ni wa CCM wenyewe usiuhusishe na Chadema kabsa isipokuwa sasa Nape atapewa pole na Chadema kwa ushujaa wa kusema Ukweli ingawa umemgharimuHawa vijana viongozi wa sisiemu wawe makini na mzuka wanaopewa na watu wa upinzani, watumie akili kidogo, ni technique mpya ya ukawa kujaribu pambana na sisiemu.
Mzee wake kamlelea chamani yeye kakuzwa na kulelewa na chama nayeye akakua akakitumikia na kukieneza pia kifupi nape na ccm wameleana. Anaijua ccm zaidi naweza sema sasa sio wakumchukulia poa poa kama kitumbua cha mama saidi.mambo ya Susi na Chuma haya.Nape ni mmoja wa mzizi mkuu wa mtawala yule, alihakikisha mtawala anaota wakiwa na makamba+mwigulu. Hivyo awe makini kuukata mzizi huu
Anataka kumshukuru raisi na watanzania kwa ujumlaKwani unajua anataka kuongea nini?
Matajiri wote Tanzania ni CCM? kwanza usipokuwa na chama unakuwa huru zaidi unafanya mambo yako kwa kujiachia zaidi.Uwoga wako ndiyo umasikini wako Nape ni shujaa na ni mfano wa kuigwa kwani hakifutwa uwanachama ndiyo mwisho wa maisha yake?Hata kama wakimfuta uwanachama maisha yatasonga mbele yeye siyo mtoa riziki
Mkuu samahani Naomba ufafanuzi hapa sijaelewa Vizuri unaweza kuelezea Vizuri tafadhali?Nguvu ya Bashite fuatilia History, it will come to pass the same. Kwa kamese na Marehemu SItta alifanya watoto wa nyumbani kuchukiwa na kuonekana mavi na kusikiliza, baada ya nguvu kuisha walimtimua hawamtaki na hawezi kwenda, definitely it will happen the same
Wakimfukuza ataanika Siri zote labda wamuue lakini akiwa hai CCM lazima imomonyoke kwa kasi kubwaIkiwa atafukuzwa uanachama, basi chama cha wanasheria tanganyika kitatetea ubunge wake mahakamani kwa nguvu zooote!!!