Tatizo ccm hamna akili, sasa Nape akifukuzwa nani atakuwa looser hapo? Hili ndo kosa ambalo hata upinzani wamekuwa wakilifanya (fukuza fukuza), sasa ccm mkiiga hiyo tabia mtakufa mapema sana na hivi tumemchoka sizonje. Mfukuzeni ikifika 2020 mtalia na kusaga meno