Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ee
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Mungu Mwenyezi tunamuomba tukuone ukisimama mwenyewe juu ya dharau na dhihaka hizi juu ya watu wako. (Zaburi 109.)
 
Wanasahau Babeli ulikua mji mkubwa wenye kuta nene mno. Ulijengwa apembeni ya mto mkubwa Frate. Usiku wa uvamizi Mungu alitumia ujumbe ukutani. Maneno yaliandikwa MENE MENE TEKELI NA PERESI.
Usiku wake watu wakiwa karamuni wanasahau kufunga mageti. Mji ulivamiwa na yeye kuuwawa na Dario Mmedi. Na sisi tumefikia hiyo level. Huwa inaitwa Uovu wa...Wakumbuke Israel alipewa nchi ambayo Mungu aliwaondoa wenyeji baada ya kutumia uovu wa Waamori. Waombe kikombe kisijae.
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Ndiyo kawaida yao hao,halafu wanakwambia kuwa kuna TUME HURU YA UCHAGUZI.Hii mimi naona ni ajabu.
 
NAPE-KUNA MBINU NYINGI ZA USHINDI INATEGEMEA NANI ANATANGAZA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.

K
 
Hadi sasa sioni ajabu kwanini Tundu Lisu alienda Chato kuzuru kaburi la Shujaa Magufuli hali kadhalika Mchungaji Msigwa, Lema na Bonny nao wamekiri Magufuli alikuwa mtu mwema

Sisi tuliolinda kura za Mwalimu Kibassa wa Nccr Mageuzi pale Iringa mjini na hatimaye akatangazwa mbunge tunajua gharama ya kulinda kura na kuishinikiza mshindi halali atangazwe kwa sababu bila shinikizo Mfumo umekaa kinjia panda

Baadae Mlale Unono 😀
 
NAPE-KUNA MBINU NYINGI ZA USHINDI INATEGEMEA NANI ANATANGAZA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.

K
Haiwezi kumgharamu na wala hakuitoa kwa bahati mbaya anajua hakuna atakachofanywa
 
NAPE-KUNA MBINU NYINGI ZA USHINDI INATEGEMEA NANI ANATANGAZA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.

K
Itamgharimu lini mkuu?
 
Back
Top Bottom