Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Ccm imuite kwenye maadili amekosea sana.

Kama yeye amezoea hivyo anatakiwa ajue kwmaba Samia hahitaji kuiba Ili ashinde maana Kila mtu anaona Rais anachofanya Nchi nzima katika kutekeleza ilani 👇👇
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Mungu anawaona.
 
Nape kwa kujinadi kwamba ndiye bingwa wa kuchezesha uchaguzi, na kwa kuzingatia ndiye, kiongozi wa wizara ya habari na techinologia, ana uwezo wa kuchezesha vishikwambi apendavyo hakuna sababu ya kupoteza mapesa ambayo yangesaidia maendeleo mengine.
 
Hizi kauli zinapaswa kupingwa kwa nguvu zote, hata kama hizo mbinu huwa zinafanyika hazipaswi kutangazwa hadharani kama vile ni halali wakati ni haramu kwa mjibu WA Sheria na taratibu za uchaguzi. Huko ni kulewa madaraka, kulewa fedha za umma za masikini, serikali na Chama cha mapinduzi zinapaswa kuchukua hatua Kali za kinidhamu kwa kudhalilisha Sheria za uchaguzi na CCM kwa ujumla. Itashangaza kwa serikali na CCM kama vitafumbia macho kauli kama hizi, lazima awajibishwe, tunaandaa siasa gani Kwa vizazi vijavyo kwa kauli kama hizi, uko wapi utawala Bora? Kauli hizi ni uchafu na aibu kwa vyombo vinavyosimamia haki na Sheria.
 
Hizi kauli zinapaswa kupingwa kwa nguvu zote, hata kama hizo mbinu huwa zinafanyika hazipaswi kutangazwa hadharani kama vile ni halali wakati ni haramu kwa mjibu WA Sheria na taratibu za uchaguzi. Huko ni kulewa madaraka, kulewa fedha za umma za masikini, serikali na Chama cha mapinduzi zinapaswa kuchukua hatua Kali za kinidhamu kwa kudhalilisha Sheria za uchaguzi na CCM kwa ujumla. Itashangaza kwa serikali na CCM kama vitafumbia macho kauli kama hizi, lazima awajibishwe, tunaandaa siasa gani Kwa vizazi vijavyo kwa kauli kama hizi, uko wapi utawala Bora? Kauli hizi ni uchafu na aibu kwa vyombo vinavyosimamia haki na Sheria.
Tumefilia pabaya sana.
 
Hizi kauli zinapaswa kupingwa kwa nguvu zote, hata kama hizo mbinu huwa zinafanyika hazipaswi kutangazwa hadharani kama vile ni halali wakati ni haramu kwa mjibu WA Sheria na taratibu za uchaguzi. Huko ni kulewa madaraka, kulewa fedha za umma za masikini, serikali na Chama cha mapinduzi zinapaswa kuchukua hatua Kali za kinidhamu kwa kudhalilisha Sheria za uchaguzi na CCM kwa ujumla. Itashangaza kwa serikali na CCM kama vitafumbia macho kauli kama hizi, lazima awajibishwe, tunaandaa siasa gani Kwa vizazi vijavyo kwa kauli kama hizi, uko wapi utawala Bora? Kauli hizi ni uchafu na aibu kwa vyombo vinavyosimamia haki na Sheria.
 
Back
Top Bottom