Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Kaongea ukweli kabisaNape Nnauye amesema Ukweli mchungu Sana, na ndiyo uhalisia wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaongea ukweli kabisaNape Nnauye amesema Ukweli mchungu Sana, na ndiyo uhalisia wenyewe
Kabisa mkuuShambolic!
Nchi zinazojielewa kwa kauli hiyo hili kubwa jinga ingekuwa imefanyiwa kazi na tume ya maadili na saa hizi angekuwa mahabusu akisubiri kusomewa mashtaka na hukumu kwa kuvuruga utaratibu wa kidemokrasia wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka .
Matokeo ya ushenzi huo ndio mnaona kwa hilo bunge uchwara la chama kimoja lisilo na meno kuiwajibisha serikali.
Aisee!Majizi yameanza kuanika siri zao hadharani.
Angeongeza kwenye list hapo sio tu anayehesabu , na kutangaza tu.
Aongeze na msaada wa POLICCM na UsalamaCCM
View attachment 3043880View attachment 3043881
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.