Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shambolic!

Nchi zinazojielewa kwa kauli hiyo hili kubwa jinga ingekuwa imefanyiwa kazi na tume ya maadili na saa hizi angekuwa mahabusu akisubiri kusomewa mashtaka na hukumu kwa kuvuruga utaratibu wa kidemokrasia wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka .

Matokeo ya ushenzi huo ndio mnaona kwa hilo bunge uchwara la chama kimoja lisilo na meno kuiwajibisha serikali.
 
Shambolic!

Nchi zinazojielewa kwa kauli hiyo hili kubwa jinga ingekuwa imefanyiwa kazi na tume ya maadili na saa hizi angekuwa mahabusu akisubiri kusomewa mashtaka na hukumu kwa kuvuruga utaratibu wa kidemokrasia wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka .

Matokeo ya ushenzi huo ndio mnaona kwa hilo bunge uchwara la chama kimoja lisilo na meno kuiwajibisha serikali.
Kabisa mkuu
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.

"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
 
Back
Top Bottom