Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Binafsi Sina chama ila sioni sisiemu kutuvusha kwenda maendeleo raia wanoyoyahitaji tofauti na wizii.Kwa kauli hii ya Nape nchi inahitaji mapinduzi inaweza isiwe Leo lakini Ipo siku tutapita huko na maendeleo yataonekanaa.Hayo yamesemwa nje ya uchaguzi . Wakati haujafika na wala hayo yaliyosemwa hayajatendeka. Acheni siasa chafu. Mangapi yanaongelewa kwenye majukwaa yenu . MTAENDELEA KUSEMA VICHACHE ambavyo havina TIJA . nguvu wekezeni kwenye SERA BORA , acheni kufanya siasa za MATUKIO . wenzenu ngoma inazidi kusonga mbele . SAMIA NJIA NYEUPE 2025
Demokrasia ni kuwa na uhuru wa kufanya mengi ikiwemo kuongea kile unacho jisikia , uhuru huo unao,Nape kaongea kama yeye akiwa na watu wake sehemu hiyo , hayo maneno sio ya kila mwana ccm au Raisi au CHAMA AU SERIKALI AU TUME HURU YA UCHAGUZI . bado tunaamini kwenye uchaguzi ulio wa ukweli na haki na uwazi juu , hakuna shaka wala upinzani kuwa CCM NI MSHINDI PAKA SASA , watu ndio kwanza wanazidi kuielewa balaa. Mama Samia kaza happ hapo mama .Wewe ni mwehu ulie hai, kukanyagwa Kwa demokrasia sio afya ya maendeleo katika nchi
Ila ameongea fact, ukweli wa kipumbavu ameongea.NAPE SIO TUME HURU YA UCHAGUZI NA NAPE SIO MSEMAJI WA CHAMA WALA SERIKALI . CCM INAAMINI KATIKA BOX LA KURA NA KURA YA MWANANCHI .
Wapi nimepotosha?Wewe Kamanda wa Mbowe acha kupotosha umma
We Jamaa mpuuzi kweli,unatetea Nini wakati ndo mambo yaliyozoeleka. Au ukiwa sisiemu ndo kua mwehu Kila kitu unatetea.Kama unaijua democrasia sana kua shoga basi tukufukunyue.Demokrasia ni kuwa na uhuru wa kufanya mengi ikiwemo kuongea kile unacho jisikia , uhuru huo unao,Nape kaongea kama yeye akiwa na watu wake sehemu hiyo , hayo maneno sio ya kila mwana ccm au Raisi au CHAMA AU SERIKALI AU TUME HURU YA UCHAGUZI . bado tunaamini kwenye uchaguzi ulio wa ukweli na haki na uwazi juu , hakuna shaka wala upinzani kuwa CCM NI MSHINDI PAKA SASA , watu ndio kwanza wanazidi kuielewa balaa. Mama Samia kaza happ hapo mama .
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.We Jamaa mpuuzi kweli,unatetea Nini wakati ndo mambo yaliyozoeleka. Au ukiwa sisiemu ndo kua mwehu Kila kitu unatetea.Kama unaijua democrasia sana kua shoga basi tukufukunyue.
Naona kijana amekukasirisha mzee wa ma-file hahahaaMwana haramu huyo .
Profesa mwandosya ulizaa nini hiki
Amezingua kwa kweliNaona kijana amekukasirisha mzee wa ma-file hahahaa
Ccm wasidhani wapo salama sana ,kama wanafikilia huu mchezo wajiandae pia kwamba taifa litaishia pabayaWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Kauli ya Chama ~ CCM yakataa maneno aliyosema Nape kuhusu ushindi wa kura unategemea na anayehesabu kura
Pia, utetezi wake: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Kabisa lo
Utaweza kupambana na kina FaizaFoxy ChoiceVariable chiembe ??Nape safari hii Hatutakubali, Nakuhakikishia kwamba Nchi utaipasua wewe na wenzako, hatutakubali ujinga tena, Waambie kabisa wanaokutuma
Safari hii Patachimbika
Kwahiyo kwa kauli ya Nape inaonyesha CCM haikubaliki kama tunavyodhaniHii kauli ulisema 2015 ,ukasema 2020 na leo unarudia sijawahi kuona watu waoga kama Chadema
USSR
Wanaamini hakuna chochote watu wa upande mwingine wanachoweza kufanya.Kwanini viongozi wamekuwa na dharau namna hii
Huyu akiwa Katibu wa itikadi na uenezi alitoa kauli yaWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Kauli ya Chama ~ CCM yakataa maneno aliyosema Nape kuhusu ushindi wa kura unategemea na anayehesabu kura
Pia, utetezi wake: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Kakosea nini??Ccm imuite kwenye maadili amekosea sana.
anaongea uhalisia wamechoka kufichafichaNape kauli zake, utadhani junior kwenye leadership
Unanisema mimi au mwingine?Unamcheka nani? Waliotukanwa ng'ombe wakajificha kisa ni wengi au wachache walioandamana kupinga kuitwa ng'ombe?. Tumia akili kabla ya kuropoka.